Goli la Ronaldo lilivyomuamsha huyu mtoto alielala kwa miezi mitatu
Ni mara nyingi tumesikia stori zinazomuhusu staa wa soka duniani Cristiano Ronaldo, zile zinazosisimua na zile zinazoleta furaha kwa kila shabiki wake.... ila hii inasisimua na kuleta furaha pia kuona…
Kingine alichokifanya mwanasoka wa dunia… Pele
Mwanasoka anayetajwa kuwa bora kuliko wote waliowahi kutokea duniani mbrazil Pele ametumia fursa ya kombe la dunia kutambulisha biashara ya kumuingizia mkwanja. Kwa kutumia nywele zake mbrazil huyo ametengeneza almasi…
Wachezaji hawa wawili hawatoichezea Manchester United dhidi ya Bayern kesho
Klabu ya Manchester United leo mchana imesafiri kuelekea jijini Munich kwa ajili ya kupambana na Bayern Munich katika mchezo wa pili wa hatua ya 16 bora. Katika listi ya wachezaji…
Unajua PSG wamepewa ahadi ya kiasi gani ikiwa wataitoa Chelsea leo usiku
Yakiwa yamebaki masaa kadhaa kabla ya mchezo wa pili wa hatua ya robo fainali ya Champions league kati ya Chelsea dhidi ya PSG, Raisi wa klabu ya PSG Nasser Al-Khelaifi ametoa…
Umesikia kuhusu Dudubaya kumkata sikio mama yake?stori ipo hapa.
Kutoka 88.1 Mwanza kuna taarifa zimesambaa kuhusu Dudubaya kumkata sikio mama yake,Soud Brown ana-amplify zaidi kupitia Youheard ya leo April 08. 88.1 Clouds Fm inasikika ukiwa Mwanza. Bonyeza play kusikiliza.
Huu ni muendelezo wa Hekaheka iliyoanza ijumaa April 04.
Hii ilianza April 04 ambayo ilitokea Tegeta kuhusu yule Mama wa Kambo aliyekua akimpiga mtoto wa mume wake,ilimalizika bila kumsikiliza mhusika mwenyewe ambaye ni mama wa kambo hapa leo unamsikiliza…
Hivi ndivyo ilivyokua Kanumba Day kwenye ukumbi wa Darlive.
April 07 2012 ni siku ambayo Tanzania ilimpoteza Msanii wa Filamu Steven Kanumba ni msiba ambao ulibeba hisia za Watanzania na hata wasio Watanzania ambao walikua wakifatilia filamu mbalimbali alizowahi…
Unaonaje jibu la Wizkid baada ya mtu kum-diss kwenye twitter?
WizKid mkali kutoka Nigeria yupo kwenye umri ambao vijana wengi wenye umri kama wake wanatumia muda mwingi kwenye internet.Hicho kitu kinamfanya kusoma comment na reply nyingi za watu wanafuatilia post…
Huu ndio wimbo official wa kombe la dunia 2014 by Jennifer Lopez na Pitbull
Umebaki muda mfupi mashindano ya kombe la dunia yaanze huko Brazil na hivi sasa umetoka wimbo official kwa ajili ya mashindano hayo. Wimbo huu ambao umeimbwa na Pitbul na J.…
Magari 13 yateketea yote baada ya moto kuwaka kwenye yadi.
Magari 13 yametetekea yote na moto na mengine matatu kuungua sehemu kidogo baada ya moto kuwaka kwenye yadi ya Japan Auto Connection. Moto huo ambao bado chanzo chake hakijajulikana lakini…