Hii hapa audio ya Cocoa na Chocolate iliyowahusisha wasanii 19 kutoka Africa.
Ni track ambayo inaweza kuwa miongoni mwa nyimbo ambazo zimeimbwa na wasanii wengi kutoka bara la Africa inayohusu kampeni ya kilimo inaitwa Do Agric,sikiliza wimbo huu kisha unadhani nani katisha…
Kuhusu Mapato yaliyopatikana kwenye mechi ya Simba na Azam.
Mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Azam na Simba iliyochezwa jana Machi 30 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam imeingiza jumla ya sh. 26,455,000,amabyo ilikua…
Tazama vipande vya video waliyoenda kufanya wasanii mbalimbali wa Africa akiwemo Diamond na Ay.
Hivi ni vipande vya video ya wimbo ambao umefanywa na wasanii 19 kutoka Africa ambao walikutana South Africa kwa ajili ya kampeni ya Do Agric ambao ni mradi kutoka One…
Kilio cha Dada Mtanzania alie China, anataka kimfikie Waziri wa Mambo ya Nje.
Kuna taarifa kadhaa huwa zinatoka zinazowahusisha Watanzania wanaoenda China baadhi yao husemekana huenda kufanya biashara haramu,mmoja kati ya watu walioenda China kwa matarajio ya kwenda kufanya kazi halali lakini walichokutana…
Haya ndiyo mauzo ya wimbo wa 2030 wa Roma Mkatoliki kupitia Whatsapp.
Inawezekana kama mitandao ya kijamii ukiitumia vizuri inaweza kukupatia faida kubwa kuna watu kadhaa ambao kupitia mitandao ya kijamii wanendesha maisha yao vizuri miongoni mwao kuna jamaa mmoja anajiita dalali…
Alichokisema Aslay kila anapoimba wimbo wake wa Naenda kusema Jukwani.
Hii inatokea mara nyingi kwa wasanii wengi duniani kuacha kuimba nyimbo ambazo zimewatoa kipindi wanaanza muziki,tunawaona wengi sana ukihudhuria baadhi ya show zao unakuta nyimbo wanazoimba ni zile ambazo zimefuata…
Tazama video Davido akimfundisha Samuel Eto’o kucheza Skelewu
Hivi karibuni msanii wa kimataifa wa Nigeria Davido alikutana na mshambuliaji wa Chelsea Samuel Eto'o alipokuwa kikazi jijini London. Davido alitumia nafasi ya kukutana na Eto'o kumfundisha mwanasoka huyo wa…
Sikiliza Hekaheka ya leo March 31.
Hii ni kutoka maktaba ya uswahilini sikiliza hii ambayo inawahusu marafiki wa karibu ambao ukaribu wao ulipelekea hadi nguokuvaa zinazofanana,urafiki umekuja kuingia doa baada ya mmoja wao kujua kuwa anatoka…
Alichosema Mrisho Ngassa kuhusu wachezaji kuhujumu timu
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mrisho Ngassa, ametamka kwamba kuna baadhi ya mechi matokeo yake ni hujuma za wazi. Ngassa amesema amekuwa akifuatilia mechi mbalimbali za Ligi Kuu Bara inayoendelea, lakini kuna…
Kama ulimis michezo ya EPL wikiendi hii, nimekuwekea videos za magoli ya michezo yote hapa
Ligi kuu ya England iliendelea wikiendi hii, na Liverpool waliendeleza rekodi yao ya ushindi na kufanikiwa kupaa kileleni, Man City walitoka sare na Arsenal, Manchester United walibamiza Aston Villa huku…