Rais Uhuru na naibu wake walipoamua kusimamisha msafara ili kula.
Ni picha ambayo nimetumiwa na Mwandishi wa habari wa Kenya ikimuonyesha Uhuru Kenyatta ambae ni Rais wa nchi hiyo akiwa na naibu wake William Ruto baada ya kuamua kusimama njiani…
Umeona maneno ya Samuel Eto’o kuhusu Alex Song na Barcelona? yako hapa
Mshambuliaji wa klabu ya Chelsea na Cameroon Samuel Eto'o ameeleza kusikitishwa kwake na namna Mcameroon mwenzie Alexander Song anavyokosa nafasi ndani ya kikosi cha FC Barcelona. Song ambae alihamia Barcelona…
Tazama jinsi fundi alivyookolewa dakika za mwisho kwenye jengo lililowaka moto
Ni moto ambao umetokea kwenye gorofa ya tano ya jengo moja huko Houston Texas Marekani ambapo kikosi cha zimamoto kilifanya pia jitihada za kumuokoa fundi ujenzi mmoja aliekua kwenye gorofa…
Rekodi mpya waliyotengeneza Suarez na Sturridge ndani ya Liverpool
Washambuliaji wa klabu ya Liverpool Daniel Sturridge na Luis Suarez wanazidi kung'ara katika ligi kuu ya Uingereza msimu huu. Washambuliaji hao wawili ambao ndio vinara wa magoli katika EPL wametengeneza…
Kama ulimis walichokifanya Messi na Neymar jana usiku – nimekuletea video hii hapa
FC Barcelona jana iliendeleza wimbi lake la ushindi katika ligi kuu ya Spain La Liga baada ya kuitandika Celta Vigo 3-0 katika mchezo uliochezwa Camp Nou. Tazama video ya mabao…
Video ya magoli ya mchezo wa Real Madrid vs Sevilla hii hapa
Real Madrid jana usiku ilianza kupoteza matumaini ya ubingwa wa La Liga baada ya kupata kipigo cha kushtukiza kwa Sevilla. Madrid walifungwa 2-1 na unaweza kucheki video ya magoli hapo…
Alichosema Trey Songz kuhusu taarifa za yeye kuwa shoga
Hatimae Trey songz amezungumza baada ya tweet hii hapa chini kusambaa kwenye mitandao mbalimbali duniani na kuwafikia watu ikiwa inasomeka 'nadhani ni wakati wa kuwaambia mashabiki wangu, tukiacha utani... mimi…
Kama ulimis Liverpool vs Sunderland March 26 video ya magoli iko hapa.
Ni game ambayo mpaka inaisha matokeo yalikua ni 2-1 ambapo kama hukupata nafasi ya kuicheki, millardayo.com imekuwekea video ya magoli hapa chini ili angalau usiwe umepitwa kabisa.
Baada ya kumtukana juzi, hili ndio jipya walilopanga kufanya mashabiki wa Man U kwa kocha David Moyes
Kundi la mashabiki Manchester United linajiandaa kuchangisha fedha za kutosha kwa ajili ya kukodi ndege ambayo itapita juu ya paa la uwanja wa Old Trafford katika mchezo wa jumamosi ijayo…
Sikiliza Magazeti yakisomwa Redioni March 27.
Baada ya kuwa umepitia kurasa mbalimbali za Magazeti na kusoma hii ni nafasi nyingine nayokupatia mtu wangu ni ya kusikiliza pia kilichoandikwa ikiwa ni pamoja na kuchambuliwa kabisa kutoka redioni,hapa…