Alichofanya Messi baada ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa Barca
Jumamosi iliyopita Lionel Messi aliweka rekodi nyingine kubwa kwenye soka dhidi ya Osasuna aliifikia na kuipita rekodi ya magoli ya gwji wa klabu ya FC Barcelona Paulino Alcantara ambaye aliifungia Barca…
Kuhusu Dudubaya kumpiga Mfanyabiashara Mwanza.
Stori hizi ana-amplify Soud Brown ambapo tukio hili limetokea 88.1 Mwanza ambalo linamhusisha Dudubaya kumpiga Mfanyabiashara wa Mwanza siku ya Jumapili saa 1 Asubuhi. 87.9 Clouds Fm inasikika ukiwa Moshi.…
Pata takwimu mbalimbali kuhusu mechi ya Yanga vs Azam FC
AZAM FC na Yanga zimekutana mara 11 kwenye ligi kuu, Yanga ikiwa imeshinda michezo mitano, huku Azam FC ikishinda michezo minne na michezo miwili zikitoka sare. Nje ya ligi kuu…
Sikiliza hapa wimbo wa Barakah da Prince – jichunge.
Huyu ni msanii mpya wa kiwanda cha muziki wa Tanzania 'Bongo Fleva' anaitwa Barakah ni mwenyeji wa 88.1,baada ya kuachia video ya wimbo huu ambayo wiki iliyopita leo kaachia audio…
Sikiliza kituko alichokifanya Mke mkubwa kwa Mke mdogo kupitia Hekaheka ya leo.
Hizi ni kati ya stori ambazo unapata kuzisikiliza kupitia kisehemu cha Hekaheka kupitia Leo Tena ya Clouds Fm na ni stori ambazo hutokea uswahilini na mitaani tunakoishi,kutana na hii ambayo…
Kutana na mchekeshaji wa Kenya akizungumzia tabu wanayoipata watu kununua kinga (condom)
Huyu ni mchekeshaji Mkenya anaitwa Owago ambae kwenye dakika hizi nne anaelezea vitu mbalimbali vinavyohusiana na ununuzi wa kinga (condom) ambavyo vinatokea kwa Wanaume na wauzaji wenyewe.
Roma anasema amekutana na haya toka single yake mpya ya KKK itoke.
Karibu kwenye kalamu au KKK ni jina la single mpya ya Roma Mkatoliki ambayo ina siku kadhaa ambapo Roma amezungumza na millardayo.com na kueleza baadhi ya matukio aliyokutana nayo kutokana…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo March 19 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Video ya wimbo wa staa Mnigeria alieupa jina la maneno ya Kiswahili.
Kcee ni staa kutoka Nigeria ambae amekua akipata airtime hata kwenye vituo vya Tanzania na single zake kama 'Limpopo' pia single nyingine aliyofanya na Wizkid ya 'pull over' Hii ni…
Matokeo ya Chelsea vs Galatasaray na Real Madrid vs Schalke March 18 2014
Kama unataka kuwa karibu na stori kama hizi kaa karibu yangu mtu wangu kupitia twitter @millardayo pia facebook na instagram kwa jina hilohilo.