J.lo angekuta Diddy na Ben Affleck wanaelea kwenye maji angemuokoa nani kati yao?
Mwimbaji Jennifer Lopez ameshawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mastaa kadhaa wa dunia akiwemo Diddy, Ben Affleck na baadae akaolewa na Marc Anthony. Kwenye interview aliyofanyiwa hivi karibuni, aliulizwa…
Baada ya Wema kudaiwa kumfanyia Diamond fujo studio, leo kaweka hii picha na kuyaandika haya
Kupitia You heard ya XXL Clouds FM March 14 2014 zilitoka stori kwamba Wema Sepetu amekwenda na kumfanyia fujo Diamond Platnumz studio. Hiyo ilitokana na kuona video ya Diamond akiwa…
Magazeti ya leo March 15 2014 na stori za Udaku, Michezo na Hardnews
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Habari 10 za AMPLIFAYA March14 2014
Amplifaya ni show ambayo inasikika kupitia Clouds FM Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku ikihusika kutoa stori zote kumi kubwa za siku za siasa, muziki, michezo, movies, maisha na…
Msikilize Mbwiga leo March 14
Kawaida ya Mbwiga wa Mbwiguke ni kila Ijumaa kuwepo live studio wakichambua pamoja na dawati la Sports Extra taarifa za kimichezo,hizi ni dakika 3 za kusikiliza Udambwi dambwi wake wa…
Namna Mheshimiwa Sitta alivyoanza majukumu yake rasmi leo March 14.
Hatimaye aliyekuwa Mwenyekiti wa muda Bunge Maalum Pande Ameir Kificho leo ameachia wadhifa wa kiti hicho na kumkabidhi jukumu hilo Mwenyekiti wa bunge hilo la katiba Samwel Sitta na Makamu…
Ulisikiliza muendelezo wa Hekaheka ile ya Mwalimu aliyemuadhibu Mwanafunzi hadi akazimia.
Hii Hekaheka ilianza jana ambayo ilimhusisha Mwalimu aliyemuadhibu mwanafunzi wake kwa viboko mpaka akazimia kisha kuleta majibu ya nyodo alipoulizwa huu ni muendelezo wake ambapo taarifa iliyotoka ni wazazi wamemsamehe…
Huyu ndio Mgombea Ubunge wa Chadema Chalinze ambae CUF wamesema sio raia, soma alichojibu
Jana March 13 2014 kupitia vyombo mbalimbali vya habari ilitoka stori iliyowahusisha Wagombea Ubunge jimbo la Chalinze ambao ni Fabian Leonard Skauki wa CUF na Matheo wa Chadema ambapo C.U.F…
Hii ndiyo kampeni mpya ya Rose Ndauka.
Msanii kutoka kiwanda cha filamu Tanzania Rose Ndauka amekuja na kampeni ya usafi maalun kwa ajili ya kuliweka safi jiji la Dar es salaam na wilaya zake ambayo ameipa jina…
Picha 11 za Rais Masikini kuliko wote duniani na mambo 9 yanayomuhusu.
Ni kawaida kukuta maisha wanayoishi Wanasiasa ni tofauti na wapiga kura wao lakini sio hivyo kwa Rais wa Uruguay ambae anaishi kwenye maeneo ya mashambani na anatoa sehemu kubwa ya…