Pichaz za @NyamaChomaFest zikiwemo za washindi wanaokwenda na mtu wa nguvu Amsterdam.
Hii ni sehemu nyingine inayowakutanisha watu wengi kwa sasa, yani ni kitu kipya ambacho kimepata mapokezi makubwa ndani ya muda mfupi tena kwenye mikoa mbalimbali Tanzanai Dar es salaam ikiwemo.…
Kwako ambae hujapata matokeo ya mechi za Chelsea na Man United March 8 2014
Hii ni time yako wewe mtu wangu ulieshindwa kutazama mechi hizi muhimu au kushindwa kupata matokeo kutokana na ubize wa chochote kilichokuteka... millardayo.com ipo kwa ajili yako.
Kauli ya MOI Muhimbili kuhusu ishu ya yule Mgonjwa alieshushwa kwa makusudi na gari la wagonjwa
Siku kadhaa zilizopita maeneo ya Mwananyamala aliokotwa mtu anaitwa Yusuf ambae wakazi wa eneo husika walidai kushuhudia mtu huyu akitelekezwa na gari la Wagonjwa la kitengo cha mifupa Muhimbili (MOI)…
Queen Darleen+Diamond Platnumz=?
Unaweza kukosa jibu la haraka haraka ukiulizwa swali hilo lakini pengine jibu la swali na kiu ya mashabiki wa muziki itakatwa baada ya kukamilika kwa kazi itakayowaunganisha ndugu hao wa…
Kenya kuna gazeti moja tu la Kiswahili… litazame hapa.
Tanzania na Kenya ndio nchi pekee za Afrika Mashariki ambazo zinaongoza kwa kuzungumza sana lugha ya Kiswahili tofauti na Rwanda, Burundi na Uganda. Katika vitu ambavyo nilikua sivijui ni pamoja…
Video nyingine ya Nigeria iliyofanywa kwenye mazingira ya kiafrika. @yemialadee
Clarence ambae ndio alihusika kuitengeneza video ya Diamond na Davido ndio amehusika kuitengeneza hii video ya Yemi Alade inaitwa 'Johnny'
Wanaume juu ya high heels wakicheza nyimbo za Beyonce na Rihanna.
Wanasema Beyonce ni miongoni mwa mastaa wachache wa muziki ambao wanaongoza kwa kuwa na mashabiki wa kila aina kwa sasa. Mara nyingi watu mbalimbali duniani wamekua wakitumia mtindo wa kuweka…
Inspector Haroon anamshukuru Mungu kwa kumjalia kipato kilichompa hili gari kwa sasa
Inspector Haroon ambae ni msanii wa bongoflevani kwa muda mrefu toka time hiyo yuko na mshkaji wake Luteni Kalama kwenye kundi la Gangwe Mobb, ameshea picha ya gari analotumia sasa…
Ukiwa kwenye club ya usiku Dubai, ikifika saa tisa inakua hivi.. fahamu mengi ya hizi club hapa
Unaambiwa Dubai kuna club za usiku za aina mbalimbali zikiwemo za kawaida na za wale matajiri sana na pia kuna club za watu maarufu kama Movida na Mahiki ambazo zinakuwa…
Habari kumi za Amplifaya March 7 2014
Amplifaya ni show inayosikika kupitia Clouds FM kuanzia Jumatatu mpaka Ijumaa saa moja usiku ikiwa na mkusanyiko wa habari kumi kubwa za siku kutoka kwenye siasa, muziki, michezo, movies na…