Kalamu ya Nikki wa II, ‘UZAZI SALAMA NI HAKI SIYO BAHATI’
Tafiti zinaonesha kuwa kidunia kila mwaka wanawake 529,000 hufariki dunia kutokana na matatizo ya uzazi wakati wa kujifunguwa ama wakati wa ujauzito. Tanzania ni Moja Wapo kati ya nchi 10…
Maamuzi ya Rais Uhuru Kenyatta kupunguza mshahara wake na wa mawaziri.
Taarifa ikufikie kwamba Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametangaza kupunguza mshahara wake na wa Makamu wake William Ruto kwa asilimia 20 na mshahara wa Mawaziri utapunguzwa kwa asilimia 10. President…
Heri ya siku ya Wanawake Duniani.
Hii ni siku muhimu kwa Wanawake wote Duniani kwa kuadhimisha pamoja siku hii tunaamini kuwa bila wao pia tusingekuwepo hivyo kwa imani hiyo kila mmoja ana nafasi ya kuwashukuru Wanawake…
Video ya D Knob na Mwasiti imetoka – ‘nishike mkono’ iko hapa.
Baada ya kuwa zimetembea teaser kadhaa kuhusu hatimae imekamilika ile video ya D knob iliyofanywa na E media ambapo kwenye wimbo kashirikishwa Mwasiti.
Magazeti ya leo Jumamosi March 08 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Msikilize Mbwiga leo March 07
Usikilize Udambwi dambwi wa Mbwiga wa Mbwiguke leo March 07 na kama kawaida kila Ijumaa anakuwa live studio akizungumza na jopo zima la Sports Extra,sikiliza kupitia 96.0 Clouds Fm Tanga.…
Zawadi mashabiki wa Tottenham waliyomtengenezea Jack Wilshare baada ya kuvunjika
Ikiwa ni muda mfupi tangu kocha wa Arsenal Arsene Wenger kuthibitisha kiungo mshambuliaji wa timu hiyo Jack Wilshere kwamba atakuwa nje ya uwanja kwa wiki 8 baada ya kuvunjika mguu,…
Huyu ndiye Mwanaume anasemekana kutoka na Lupita Nyong’o.
Lupita Nyongo kutoka Kenya tayari ameshaanza kuwa miongoni mwa mastar wa dunia na hii ni baada ya kuwa Mshindi wa tuzo za OSCAR 2014,kuna taarifa zimetoka kwenye vyombo vya habari…
Fahamu ni kiasi gani Arsenal wametaka kama fidia ya Wilshare kuumia
Siku moja baada ya kuthibitika kwamba Jack Wilshare atakaa nje ya uwanja wa takribani wiki 8 baada ya kuumia katika mchezo wa kirafiki kati ya England na Denmark, klabu ya…
Jinsi jiko la gesi lilivyoiteketeza hii nyumba Mwanza.
Huu ni moto ambao umetokea asubuhi ya March 06 2014 saa 5 mtaa wa Majengo wilayani Misungwi mkoani Mwanza ambapo nyumba iliteketea na furniture zake. Jeshi la Polisi lilifika kwenye…