Sikiliza Magazeti ya leo March 03 yakisomwa Redioni.
Kila siku kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa millardayo.com inakupa nafasi ya kusikiliza magazeti yakichambuliwa redioni,hii ni kwa sababu pengine muda wa kusikiliza magazeti ulikuwa busy kidogo hivy0 kwa kutumia teknolojia ya…
Tazama mabao ya mchezo kati ya FC Barcelona vs Almeria
FC Barcelona baada ya kupoteza mchezo uliopita wa ligi dhidi ya Real Sociedad jana usiku walirudi katika zama za ushindi baada ya kuifumua Almeria mabao 4 - 1
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo March 3 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Video: Hivi Ronaldo alivyoikoa Real Madrid na kipigo kutoka wa Atletico
Bao la dakika za mwisho la mwanasoka bora wa dunia Cristiano Ronaldo limeiokoa Real Madrid na kipigo kutoka kwa mahasimu wao Atletico Madrid katika mchezo uliopigwa muda mfupi huko Spain…
Tazama mabao ya mchezo wa fainali ya Capital 1 kati ya Man City vs Sunderland
Mabao yaliyofungwa na Yaya Toure, Samir Nasri na Jesus Navas dhidi ya Sunderland katika mchezo wa fainali ya kombe la Capital One yameipa klabu hiyo ya jiji la Manchester ubingwa…
Matokeo ya Simba vs Ruvu Shooting haya hapa
Hatimaye baada ya vipigo vitatu na sare mbili klabu ya Simba leo imepata ushindi katika mfululizo wa mechi za ligi kuu ya Vodacom. Mchezo wa uliochezwa katika dimba la uwanja…
Picha 7 kuhusu mauaji yaliyotokea kwenye kituo cha Treni China.
Taarifa iliyosambaa kwenye mitandao mbalimbali inasema kuwa kuna kundi la watu waliokuwa naPicha 7 visu limewashambulia na kuua watu 28 huku zaidi ya 100 wakijeruhiwa katika kituo cha treni kilichopo…
Alichokisema Shy-Rose Bhanji kuhusu jumuiya ya Afrika Mashariki kwa Tanzania.
Katibu wa Wabunge wa Tanzania Katika Bunge la Afrika Mashariki Shy-Rose Bhanji amerejea Tanzania baada ya ziara ya siku 10 ya Wabunge wa EALA nchini Kenya,karudi na la moyoni kwa ajili…
Magazetini leo Jumapili March 02 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Matokeo ya mchezo wa Yanga vs Nacional Al Ahly
Klabu bingwa ya Tanzania bara Dar Young Africans leo imefanikiwa kushinda mchezo wa kwanza wa hatua ya raundi ya pili CAF Champions League dhidi ya mabingwa watetezi wa kombe hilo…