Tazama mabao saba ya mchezo wa Real Madrid vs Schalke
Klabu ya Real Madrid imeweka mguu mmoja katika hatua ya robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa ulaya baada ya kuishindilia bila huruma Schalke kwa mabao 6-1 katika mchezo…
Hii ndiyo Collabo inayomkutanisha Meninah na Linda Ines kutoka Angola.
Miongoni mwa wasanii ambao walitokea kwenye mashindano ya Bongo Star Search Meninah yupo kwenye orodha hiyo na kupitia millardayo.com ameongelea project yao mpya ambayo amefanya yeye na moja ya kati…
Sikiliza Hekaheka hapa inayomhusu Dada aliyejifungua na kumtupa mtoto.
Kumekua kukiripotiwa vitendo vingi sana vya unyanyasaji wa watoto na vya kinyama,hii nayo ipo kwenye orodha ya habari hizo baada ya msichana mmoja kujifungua mtoto na kisha kumtupa muda mfupi…
Hii ndiyo status ya Kala Jeremiah iliyozua utata Facebook.
Kwa kitu ambacho kinaonekana si cha kawaida kwa Kala Jeremiah kuandika status kali ikiwa kama inamchafua Diamond na kumsifia Ally Kiba kwa kile kilichosemekana kuwa Ally Kiba kakopa pesa ili…
Video inayosambaa ya Ostaz Juma akiombwa msamaha na Pnc.
Hii ni video ambayo imezunguka sana leo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ambayo wadau wengi wa muziki wamedai ni kama kudharirishwa kwa wasanii wa Tanzania na kuonekana kama hawana msimamo…
Kuwa wa mwanzo kuusikiliza hapa Wimbo mpya wa Barnaba Jasho la Mnyonge.
Huu ni wimbo mpya wa Barnaba ambayo tulikuwekea kipande chake miezi kadhaa iliyopita,leo inatoka rasmi na Barnaba katubariki tuwe wa kwanza kukupatia wewe mtu wetu wa nguvu,hii inaitwa Jasho la…
Sikiliza hapa Magazeti yakisomwa Redioni.
Kuanzia Juma tatu hadi Ijumaa kupitia millardayo.com inakupa nafasi ya kusikiliza magazeti hayo yakisomwa moja kwa moja kutoka kwenye kipindi cha Power Breakfast kwenye kisehemu cha Kuperuzi na Kudadisi. Sikiliza…
Magazeti ya Tanzania leo February 26 2014.
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.