Huyu ndiye msanii mpya anaefuata kutoka Tetemesha 2014.
Tetemesha Records ni moja kati ya studio zilizoanzia safari yake ya kimuziki mikoani na kisha kuhamia Dar es salaam, awali makazi ya studio hii yalikua 88.1 Mwanza Kwa Dar es…
Alichosema Mourinho kuhusu kuwasajili aidha Falcao, Zlatan au Cavani
Jose Mourinho ametoa ishara kwamba klabu yake ya Chelsea inaweza kutuma ofa ya kumsajili mshambuliaji wa kikolombia Radamel Falcao mara tu dirisha la usajili litakapofunguliwa. Meneja huyo wa Chelsea hakuonyesha…
Hiki ndicho kiasi cha fedha atakacholipwa Toni Kroos ikiwa atajiunga na Man United
Inaaminika kwamba Manchester United wapo tayari kumpa ofa ya mshahara wa £250,000 Toni Kroos ikiwa kiungo huyo wa kijerumani ataamua kuondoka Bayern Munich na kujiunga na kikosi cha David Moyes. Mshahara…
Fahamu rekodi mpya ya Al Ahly inayocheza na Yanga jumamosi hii
Miamba wa soka barani Afrika, Al-Ahly ya Misri wameipiku timu ya AC Milan ya Italia, timu ambayo inatambuliwa kutwaa makombe mengi kimataifa. Mabingwa hao watetezi wa ligi kuu ya mabingwa…
Kilichomtokea Jaffarai,sikiliza hapa You heard ya leo Feb 24.
Inasemekana Jaffarai siku kadhaa nyuma alipatwa na tatizo mpaka ikalazimika kupelekewa chumba cha wagonjwa mahtuti,Soud Brown ana-amplify taarifa zaidi juu ya hili tatizo ikiwa ni pamoja na kuongea na Jaffari…
Kuhusu yule Ustaadh aliyemchinja mtoto,sikiliza hapa kilichotokea.
Hii habari imeripotiwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari yakiwemo magazeti ya mwishoni mwa juma lililopita,Hekaheka iliingia ndani zaidi na kuwepo hadi siku ya mazishi ambayo yalifanyika kukiwa na giza limeanza…
Jumla ya Mapato kwenye Mechi zilizohusisha Yanga na Simba Wikiendi iliyopita.
Mechi za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara ambazo zilihusisha timu za Yanga na Simba,zilizochezwa hapa 88.5 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam mwishoni mwa wiki zimeingiza jumla ya sh.…
Hii ndiyo mechi ya mpira wa miguu ambayo haitakua na kiingilio.
Taarifa kutoka TFF naambiwa mashabiki wa mpira wa miguu nchini watapata nafasi ya kushushuhudia bure mechi ya timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya wanawake yaani Twiga Stars na…
Hapa unasikiliza Magazeti yakisomwa Redioni.
Naomba utumie dakika hizi 14 kusikiliza Magazeti ya leo yakisomwa Hewani,kwa kutumia Teknolojia nakuunganisha moja kwa moja na kipindi cha Power Breakfast kwa ajili ya kusikiliza kisehemu cha Kuperuzi na…
Magazeti ya leo February 24 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…