Video: Hiki ndicho walichofanywa Barcelona na Real Sociedad jana
FC Barcelona jana ilikumbana na kipigo cha kushtukiza katika mchezo wa la liga dhidi ya Real Sociedad. Katika mchezo huo Sociedad walianza kuliona lango la Barca mapema katika kipindi cha…
VIDEO: Walichokifanya Real Madrid kwenye mechi ya jana pamoja na kumkosa Ronaldo
Pamoja na kumkosa mchezaji wao tegemeo klabu ya Real Madrid jana iliendeleza wimbi la ushindi baada ya kuifumua Elche kwa mabao matatu kwa moja katika mchezo uliopigwa mapema jana jioni.…
Magazeti ya leo Jumapili 23 February 2014
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Matokeo yote ya mechi za Premier League leo Feb22
Ya Arsenal ni mechi ambayo nyavu zilitikiswa kwa mara ya kwanza kwenye dakika ya tano huku Arsenal ikiwa ndio ya kwanza kupata goli. Matokeo mengine ya mechi za leo yako…
Matokeo ya Yanga vs Ruvu Shooting – Mbeya City vs Coastal Union haya hapa
Mabingwa wa Tanzania bara klabu ya Dar Young Africans leo imetoa kipigo cha mbwa mwizi kwa klabu ya Ruvu Shooting katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom uliochezwa uwanja wa…
Uamuzi wa mahakama kuhusu rufaa ya Cristiano Ronaldo huu hapa
Kama utakumbuka wiki mbili zilizopita mwanasoka bora wa dunia Cristiano Ronaldo alitolewa nje kwa kadi nyekundu kutokana na kujihusisha na vitendo visivyo vya kiunamichezo katika mchezo wa ligi kuu ya…
Hii ni Good News kwako mama uliyekwama mtaji wa Biashara,kutoka kwa Nuru the Light.
Nuru the light ni Miongoni mwa wasanii wa Tanzania ambao wanaoishi nje ya nchi ingawa pia Bongo ndiyo home,ana wiki kadhaa tangu arejee tena Bongo,millardayo.com ilimtafuta kwa ajili ya kufahamu…
Hivi ndivyo Wayne Rooney anavyowazidi kifedha Barack Obama na David Cameroon
Mshambuliaji wa klabu ya Manchester United Wayne Rooney jana usiku alisaini mkataba mpya wa miaka minne wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo. Mkataba huo umemfanya awe mchezaji anayelipwa zaidi duniani akiwazidi…
Baada ya ruhusa ya kuichezea Yanga, jingine jipya hili hapa la Emmanuel Okwi
Wiki moja baada ya kuruhusiwa kuichezea klabu ya Yanga, leo hii mshambuliaji wa kimataifa wa timu hiyo Emmanuel Arnold Okwi ametangazwa kuwa miongoni mwa wachezaji 11 watakaonza mchezo wa ligi…
Hatua nyingine kwa Diamond Plutnumz.
Diamond Plutnumz bado ameendelea kudhihirishia ulimwengu kwamba anapiga hatua kulingana na juhudi alizonazo kwenye muziki,hili ni shavu lingine,kwa sasa Diamond ameteuliwa kuwa moja kati ya wasanii wanaootoka Afrika na watakaoshiriki…