Mechi ya Fulham vs Liverpool hatihati kutofanyika, kisa kiko hapa
Mechi ya ligi kuu ya England kati ya Fulham na Liverpool siku ya Jumatano, huenda ikahairishwa ikiwa mgomo wa wafanyakazi wa treni mjini London utaendelea kama ulivyopangwa. Wafanyakazi hao wa…
Hivi ndivyo hali ilivyo ndani ya Jiji la Mwanza.
Bado tunaendelea kupokea picha na taarifa mbalimbali juu ya Wafanyabiashara wa mikoa mbali mbali walivyoamua kusitisha kutoa huduma sababu kubwa ikiwa ni kugomea mashine za Efd,baada ya Dar es salaam…
Umeisoma hii? Shabiki apoteza maisha Kenya kisa ushindi wa Liverpool dhidi ya Arsenal
Mwanaume mmoja raia wa Kenya anayeshabikia klabu ya soka ya Uingereza ya Liverpool amedungwa kisu na mwenzake wa klabu ya Arsenal na kufariki dunia katika eneo la Meru Mashariki mwa…
Sikiliza alichokijibu Diva kuhusu mahusiano yao kati yake na King Crazy Gk.
Kama uliisikiliza You heard ya jana huu ni muendelezo wake ambapo kwa leo upande wa pili umeongea kwa sababu jana haukupatikana na upande wa pili ni Diva kaweka wazi mahusiano…
Kuhusu mtoto aliyebakwa sikiliza hapa kilichomtokea kupitia Hekaheka ya leo.
Matukio ya kuonewa na kufanyiwa vitendo vya kikatili kwa watoto bado yanaendelea kupitia Hekaheka za leo,kuna taarifa ya mtoto kubwakwa kisha polisi kutoa taarifa ambazo zimewachanganya Madokta waliompima mtoto huyo,Taarifa…
Hizi status za Masanja,Mpoki,Diamond na Quick Rocka kwenye mitandao ya kijamii.
Hizi zimetoka kwenye account za mitandao ya kijamii ya Quick Rocka,Masanja Mkandamizaji,Diamond na Mpoki.
Baada ya Dar es salaam,Hii ni Iringa mchana wa February 10.
Kuhusu suala la Wafanyabiashara wa Tanzania bado muafaka wake haujapatikana,hizi ni picha toka 92.9 Iringa ambako maeneo maarufu ambapo kwa Dar unaweza linganisha na Mtaa wa Congo ila huko panaitwa…
Watu wangu wa Himo hii ni kwa ajili yenu kutoka NMB.
Mkuu wa wilaya ya Moshi Mhe. Dkt Ibrahimu Msengi akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa tawi la NMB Himo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro. Kushoto ni meneja…
Pichaz za show ya @OmmyDimpoz Marekani
Ommy Dimpoz alikwenda Marekani kwa ajili ya show ambapo baada ya kutoka huko amekwenda London kwa ajili ya show ya Valentine ambayo itakuwa hosted na Salama Jabir. Hizi ni baadhi…
Exclusive:Kwa mara ya kwanza sikiliza hapa Pombe Yangu Rmx ya Madee na P Unit
Hii ni version ya pili baada ya ile ya kwanza iliyotoka February 13 2013 kutoka kwa Madee,Hii wameshirikishwa P Unit kutoka 254 Kenya,Production ni ile ile ya Marco Chali toka…