Picha ya gari ambalo Ney wa Mitego amemnunulia mpenzi wake.
Kupitia instagram Ney wa mitego amepost picha ya gari alilomnunulia mpenzi wake na kuandika maneno haya 'Zic iz 4u bby...zawadi yako my superwomen...chama kubwa 966 Mwezi wa 7 ntakununulia prado sawa?! Hahaha kaa…
Hii ndio ahadi ya kocha wa Brazil endapo timu yake itashindwa kubeba Kombe la dunia.
Kocha wa timu ya taifa ya Brazil Luiz Felipe Scolari amesema kwamba ikiwa timu yake itashindwa kubeba ubingwa wa kombe la dunia basi atakimbilia nchini Kuwait kujificha. Brazil wamekuwa na maandalizi mazuri tangu…
Hii ya Rais Uhuru wa Kenya kutembea bila msafara uliipata? na alichomwambia askari aliemsimamisha je?
Hii imetokea kwenye mji mkuu ambao ni Nairobi pale Rais Uhuru Kenyatta alipotumia gari moja tu bila msafara akitokea Ikulu kwenda kwenye hoteli moja kwa ajili ya kukutana na Wanafamilia.…
Haya ni maneno ya Falcao kuhusu kufungiwa kwa Ronaldo
Mshambuliaji wa klabu ya Monaco Radamel Falcao amesema kifungo cha mechi tatu alichopewa mwanasoka bora wa dunia Cristiano Ronaldo sio cha haki kabisa, na kwamba hii adhabu inaonyesha ujinga na udhaifu wa mfumo wa…
Picha na taarifa za ufunguzi wa mashindano ya Winter Olympic huko Sochi nchini Russia.
Hadi sherehe za ufunguzi zinafanyika inakadiliwa kuwa karibia dola za kimarekani billioni 51 zimetumika katika kufanya maandalizi ya winter Olympics huko Sochi Russia. Baadhi ya matumizi yake ni miundombinu ya…
Mwanasoka huyu wa Brazil afariki dunia kwa ajali asubuhi hii
Mwanasoka wa kibrazil anayekipiga katika klabu ya Shakhtar Donetsk Maicon Pereira de Oliveira amefariki dunia kwa ajali ya gari. Taarifa rasmi kutoka kwa klabu hiyo ya Ukraine ilieleza. "FC Shakhtar…
Unajua kilichokuwa kikimfanya golikipa wa Simba asiicheze timu hiyo? Hiki hapa
Hatimaye baada ya kusota kwa muda mrefu golikipa wa klabu ya Simba kutoka nchini Ghana Yaw Berko wa Simba amepata kibali cha kufanya kazi nchini, lakini kwa sasa atakuwa chaguo…
Exclusive:Sikiliza ushirikiano huu wa Young Dee,Young Killer na Country Boy.
Ulishawahi kuhisi kitakachozaliwa baada ya Country Boy,Young Dee na Young Killer wakiwa kwenye booth tena wakirekodi wimbo mmoja?kama hukuwahi kuipatia picha jinsi itakavyokua basi millardayo.com inakupa nafasi ya kusikiliza kilichofanywa…
Kuhusu zile milioni mbili za @bballkitaa Feb7 na pichaz zake. cc @IamNchaKALIH
Baada ya kuwa zimetembea Status nyingi facebook, post za Instagram na twitter kuhusu hii ya kugombania milioni mbili February 07 2014, hatimae utata umekatika baada ya Team Next level ya…
Msanii wa Project fame alieingia kwenye vita ya nchi, anasema Rais akiuwawa amani ndio itakuja.
Unaweza kujaribu kutengeneza picha, pale ambapo msanii anaamua kushika bunduki na kuingia kwenye vita ya nchi yake kisa hajapendezwa na upande mmoja kati ya mbili zinazopingana. Imeripotiwa kwamba huenda aliewahi…