Baada ya sare ya jana, Simba walalamikia ratiba ngumu, TFF yawajibu
Baada ya kutoka sare jana na Mtibwa Sugar katika mfululizo wa raundi ya michuano ya ligi kuu ya Vodacom, klabu ya Simba imelalamikia ratiba ngumu iliyopangiwa na shirikisho la soka nchini…
PSG kupandisha dau hadi pound million 40 ili kumpata Adnan Januzaj
PSG wamepania kupata sign ya mchezaji mwenye umri wa miaka mdogo lakini anaonekana kuwa na future nzuri kwenye soka Adnan Januzaj. Hii inaonekana kuwa taarifa mbaya sana kwa mashabiki wa…
Exclusive:kuwa wa kwanza kusikiliza kionjo cha wimbo mpya wa Snura ‘Ushaharibu’
Snura ni miongoni mwa wasanii ambao Watanzania walimpa kibali cha kuuelewa muziki wake mwaka 2013,baada ya rekodi kadhaa nyuma kupita hatimaye wimbo wa Majanga ulimueka kwenye ramani ya muziki wa…
Hii ndiyo zawadi ya birthday aliyopewa Cristiano Ronaldo kutoka kwa Zlatan Ibrahimovic.
Cristiano Ronaldo ametimiza miaka 29 na ana kila sababu ya kusherekea maisha yake yenye mafanikio kwenye kazi yake anayofanya ukizingatia ametoka kushinda Ballon D'or. Sasa basi kama kawaida ya birthday…
Baada ya Mbeya City, Niyonzima sasa aipania timu hii…..
Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga Haruna Niyonzima aka Fabregas amesema baada ya kuwanyoosha timu ngumu ya Mbeya City na kuvunja rekodi yao ya kutokufungwa katika ligi kuu ya Vodacom,…
Ulisikia kuhusu Clouds TV International? kutana na picha na maelezo
Kwenye semina ya fursa mwishoni mwa 2013 Dar es salaam ambayo mgeni rasmi alikua Rais Kikwete, Managing Director wa Clouds Media group Joseph Kusaga alitangaza kuhusu Clouds media group kupata…
Wale wa Hekaheka hii hapa ya leo February 06 kuhusu dada aliyevamiwa kwake.
Inawezekana ikawa ni moja kati ya mtiririko wa story znazotokea mitaani kuhusu wizi wa aina mbalimbali,msikilize mjasiriamali huyu kike namna alivyofanyiwa vituko na wezi mtaani kwake,sikiliza kupitia 104.1 Clouds Fm…
Taarifa za mgodi uliowaka moto na kuwafunika wafanyazi chini ya ardhi.
Moto ulizuka katika mgodi siku ya Jumanne umbali wa mita 1,700 chini ya ardhi na kusababisha vipande vya mgodi huo kudondoka na kuwaangukia wafanyakazi waliokua kazini siku hiyo. Hadi sasa…
Unayataka magoli ya FC Barcelona vs Real Sociedad? yako hapa
Mpaka mwisho wa mchezo game ilitoka Barcelona 2 - 0 Real Sociedad, magoli ambayo yote yanaonekana kwenye hii video hapa chini All Goals - Barcelona 2-0 Real Sociedad - 05-02...…
Hapa kuna namba za vocha za Vodacom za elfu tano tano, ukiwahi ni zawadi yako mtu wangu
Kila wakati hapa millardayo.com kutakua kunatolewa zawadi za vitu mbalimbali sio vocha tu so ukiwa unapita mara kwa mara unaweza kuwa miongoni mwa washindi. Zoezi hili la vocha litakua linafanyika…