NMB na droo ya mwisho ya Ki-college plus.
Oktoba 12 2013 NMB ilizindua promosheni ya Ki-COLLEGE Plus na NMB inayowawezesha wanafunzi wa elimu ya juu wenye akaunti na NMB Student Account. Pia kupata nafasi ya kuingia kwenye droo…
Teknolojia inaturuhusu kusikiliza hapa Magazeti ya leo Jan 23 yakisomwa redioni. (DK 14)
Tumia dakika hizi 14 kusikiliza Magazeti ya leo Jan 23 yakisomwa Redioni kupitia kwenye kisehemu cha Kuperuzi na Kudadisi ndani ya Power Breakfast,sikiliza kupitia 96.0 Clouds Fm Tanga. Bonyeza play…
Magazeti ya leo January 23 2014 na stori kubwa za Udaku, Michezo na Hardnews
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Hiki ndicho kitakachoonekana kwenye video mpya ya Shosteez waliyomshirikisha Ay.
Shosteez ni kundi linalomilikiwa na Producer Lamar ambapo January 22 2014 limeanza kushoot wimbo mpya ambao bado hata audio yake haijatoka 'Tonight' waliomshirikisha Ay. millardayo.com inakupa nafasi ya kuwa mmoja…
Msikilize Mbwiga leo Jan 22
Tumia dakika hizi chache kumsikiliza Mbwiga wa Mbwiguke aki-amplify taarifa za kimichezo,msikilize hapa kuanzia Jumatatu mpaka Ijumaa pia waeza msikiliza kupitia 88.4 Clouds Fm Mtwara. Bonyeza play kusikiliza.
Picha 7 za kitakachoonekana ktk video mpya ya Weusi ‘nje ya box’ magari na yule manka wa kichaga sasa
Unaambiwa Ijumaa hii ya January 24 2014 ndio video hii itawafikia mamilioni ya Watanzania manake ndio siku ya kuachiwa kwake ikiwa imefanywa na mkali kutoka 87.9 Arusha >> Nisher. Mwezi…
Jinsi wizara ya Fedha ilivyowapokea Mwigulu Nchemba na Malima leo January 22 2014.
Mawaziri walioteuliwa kwenye mabadiliko ya baraza la mawaziri waliripoti ofisini January 22 2014 ambapo hii post inawahusu naibu waziri wa fedha Mwigulu Nchemba alivyopokelewa na Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha…
Picha za ajali iliyoua wanafunzi watano Mtwara leo Jan 22 pamoja na taarifa kamili.
Wanafunzi watano wa shule ya sekondari Mustafa Sabodo iliyopo nje kidogo ya mji wa Mtwara wamefariki Dunia na wengine 47 kujeruhiwa baada ya kugongwa na gari wakati wakikimbia mchakamchaka mapema…
Daraja la Dumila lasombwa na maji baadhi ya majengo ya Shule yafunikwa.
Habari zilizosambaa tangu asubuhi kuwa Daraja la Dumila lililopo mkoani Morogoro ambalo ni barabara ya Dodoma - Morogoro limekatika na magari hayapiti baada ya mvua kubwa kunyesha usiku wa kuamkia…
Hii ni kauli ya Nay wa mitego baada ya mshindi wa BSS 2013 kuonyesha mali alizonunua
Jana jioni kupitia millardayo.com mshindi wa shindano la vipaji la BSS 2013 Emmanuel Msuya aliziachia picha za nyumba aliyonunua, gari pamoja na studio... vyote akiwa kavifanya kutokana na zile milioni…