Niruhusu nikupeleke Ikulu kupitia hapa, nikuonyeshe jinsi walivyoapishwa leo.
Leo January 20 2014 Ikulu Jijini Dar es salaam Rais Jakaya Kikwete aliwaapisha Mawaziri wapya waliotangazwa kwenye mabadiliko ya baraza la Mawaziri yaliyofanywa hivi karibuni. Picha hiyo ya kwanza na…
Hii ndio ajali nyingine tena ya leo iliyotokea Lindi.
Taarifa nyingine ya ajali ndani ya siku ya leo inatoka huko Linda na inaihusu ajali ambayo imetokea mchana Mitwelo mkoani Lindi na kuhusisha basi Al-hamdulilah linalofanya safari zake kati ya…
Taarifa nyingine kuhusu ajali ya Toyota Noah Singida, hii ni kauli ya Polisi.
Hizi ni dakika chache tuzitumie kusikiliza alichokisema Kamanda wa polisi mkoa wa Singida ACP.Geofrey Kamwela kuhusu ajali iliyotokea leo asubuhi ambayo imehusisha gari aina ya Toyota Noah na Scania lori…
Alichosema Ally Rehmtullah Kuhusu hii keki ya Birthday yake yenye umbo la sehemu ya mwili wa mwanaume
Tangu jumamosi kumekua na taarifa nyingi kupitia mitandao ya kijamii kuhusu keki aliyoiandaa Fashion Designer Ally Rehmtullah kwenye kusherehekea siku yake ya kuzaliwa, keki hii ilitengenezwa kwa umbo la Mwanaume…
Maumivu ya mapenzi mpaka India, soma hii ya kifo cha ghafla cha mke wa Waziri
Kimetokea kifo cha gafla cha mke wa waziri mmoja huko India baada ya utata kati yake na umma ambapo alimtuhumu mume wake kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke mwingine ambapo kifo hicho kilikua cha ajabu na ghafla,…
Sikiliza Hekaheka ya leo ni kuhusu Kijana aliyembaka mtoto mpaka kupoteza fahamu.
Hili ni tukio la kusikitisha ambalo limetokea huko Salasala ni kuhusu kijana mkazi wa Salasala kumbaka mtoto wa miaka 6 ambaye kwa kitendo hicho moja ya vitu vilivyotokea ni mtoto …
Hii ni ajali nyingine ya Toyota Noah, zaidi ya kumi wamefariki hapa
Ni taarifa kuhusu vifo vya watu 13 kupoteza maisha huku watatu wakijeruhiwa kwenye ajali ya Toyota Noah maarufu kama Noah Mchomoko waliyokua wakisafiria kutoka Itigi kwenda Singida kugongana uso kwa…
Katika hizi picha 7 za vituko kutoka facebook, ipi imetisha?
Mtandao wa kijamii wa facebook, ni mtandao ambao unaweza kuupa nafasi ya dakika 10 na ukajionea vitu tofautitofauti zikiwemo habari, matukio mbalimbali na vituko au vichekesho pia. Hizi ni sehemu…
Na huyu ndio mrembo anaedai kuwa na ujauzito wa Davido
Hii sio mara ya kwanza kusikia kajitokeza binti flani na kudai kazaa au ana ujauzito na staa flani wa muziki, movie, siasa au kingine chochote. Sasa yule staa wa Nigeria…
Za facebook na twitter fastafasta!
Kuna uwezekano ukawa haupo kwenye mtandao wowote wa kijamii kama facebook na twitter ndio maana kazi yangu mtu wako wa nguvu ni kuhakikisha haupitwi na stori yeyote. Ili kuwa mwanafamilia…