Kisikilize alichokifanya Diamond kwenye hii beat ya Chegge
Zitumie hizi dakika kadhaa kusikiliza alichokifanya Diamond kwenye hii beat ya Chegge Chigunda ya Uswazi Take away,uongozi wake umetubariki kuwapa watanzania hii kama Exclusive kwenu kuisikiliza hii nyimbo afu tupe …
Huu ndio ujio mpya wa Jennifer Lopez kwenye muziki.
Kama wewe ni shabiki wa Jennifer Lopez basi utakua umezimiss sana kazi zake kwenye muziki. Same girl ndio wimbo mpya kutoka kwa JLo ambao umeandikwa na Chris Brown. J Lopez…
Watu zaidi ya 200 wazama kwenye mto Nile wakikimbia vita
Zaidi ya watu 200 raia wa Sudan Kusini wamezama katika ajali ya boti kwenye mto Nile wakikimbia vita vinavyoendelea katika mji wa Malakal. Taarifa hii ni kwa mujibu wa msemaji…
Unayataka makubwa ya magazeti ya leo Jan 14 2014? Udaku, michezo na hardnews? yako hapa
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Exclusive! Dakika 8 za Boyfriend wa Jackie Cliff, kakisema hapa chote alichoongea na Jackie juzi.
Ndani ya wiki moja iliyopita Balozi wa Tanzania nchini China aliongea Exclusive na millardayo.com na kuthibitisha kwamba hajawahi kupokea taarifa kutoka gereza lolote la China juu ya kukamatwa na dawa…
Kajala ataolewa tena? kuhusu huyu mume wa mtu je? alichofata China? na dawa za kulevya?
Hii ni interview ya kwanza ya mwigizaji Kajala, yani ndio kwa mara ya kwanza kahojiwa kwenye chombo cha habari (Exclusive on millardayo.com) baada ya kumiliki headlines kwa ishu zake tatu…
Hii ni kwa wale wa Mr. Flavour wa Nigeria, mmeiona hii video mpya ambayo kamtumia Dillish wa BBA?
Mr Flavour ni miongoni mwa Wasanii wachache wa Nigeria ambao wamewahi kualikwa na kuja kufanya show nchini Tanzania, time hii ametuletea video yake mpya ambayo ndani yake anaonekana Dillish ambae…
Picha nyingine 7, viti vya Ronaldo na Messi kwenye Ballon d’Or, hisia za Ronaldo na nyingine
Usiku wa January 13 2014 huko Zurich ndio Cristiano Ronaldo wa Real Madrid amekabidhiwa tuzo yake ya Ballon d'Or kutoka FIFA ambapo zifuatazo ni pichaz za matukio mbalimbali kwenye utoaji…
Ajali ya basi la Shabiby na Lori Singida.
Taarifa inasema abiria 28 wakiwemo watoto wanne wamejeruhiwa kwenye ajali ya hili basi la Shabiby baada ya kugongana na lori la mafuta lililokua tupu hivyo kupinduka kwenye kijiji cha Kisaki…
Kama ulimis tamko la Chadema Kigoma
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Kigoma Mjini kimetoa Matamko Matatu kuhusiana na hali ya kisiasa inayoendelea ndani ya chama hicho ambapo ajenda zilizochukua ukubwa ni ajenda ya…