VIDEO: Waziri alivyorushiwa kiatu kwenye mkutano na Waandishi wa habari Delhi
Jamaa mmoja huko Delhi India amemrushia kiatu Waziri Arvind Kejriwal akiwa kwenye mkutano na Waandishi wa habari ambapo kabla ya kukamatwa na kupelekwa Polisi, mrushaji wa kiatu hicho amesema alifanya hivyo…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 10 2016 kwenye, Hardnews na michezo
April 10 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
VIDEO: Magoli yote ya Yanga vs Al Ahly Full Time 1-1 April 9 2016 Dar es salaam
Game ya Yanga vs Al Ahly ilimalizika kwa sare ya goli 1-1 ambapo goli la kwanza liliingia dakika ya 9 AlAhly walilipata kupitia kwa Gamal na dakika ya 19 goli la kujifunga Yanga…
VIDEO: Warembo wa Tanzania walivyojitokeza kuonyesha vipaji vya kuigiza kwenye Xballer
Ernest Napoleon ni mwigizaji kutokea Tanzania ambaye uwezo wake tayari ameshauonyesha kwenye movie ya Going Bongo ambayo ilizihusisha nchi mbili ambazo ni Marekani na Tanzania, sasa hivi anajiandaa kufanya movie…
PICHA 4: Roma Mkatoliki kafunga ndoa leo nyumbani kwao Tanga
Roma Mkatoliki ni msanii maarufu wa hiphop Tanzania ambaye kwenye upande wa pili wa maisha ameamua kufunga ndoa na mpenzi wake wa longtime ambaye wana mtoto pamoja (Ivan) na April 9…
VideoMPYA: Maua Sama katuletea video ya hit single ‘mahaba niuwe’
Maua Sama ni miongoni mwa warembo wanaofanya vizuri bongoflevani Tanzania na hivi karibuni amekua kwenye Top10 ya Radio na single yake ya ‘mahaba niue‘ambayo hakuwa ameifanyia video, leo April 9 2016…
PICHA 2: Gardner G. Habash.. April 3 mkataba mpya CloudsFM , April 9 gari jipya !
Wiki hii habari ya town ni Mtangazaji hodari Gardner G. Habash kurejea kutangaza CloudsFM aliyoacha kuifanyia kazi December mwaka 2010 ambapo baada ya shangwe za kurejea kwake mjengoni, good news zimeendelea.…
Kama una ndoto za kusoma chuo nje, hii ni Top 20 ya vyuo vikuu vipya bora duniani 2016 (+Pichaz)
Kuna list kubwa ya watanzania ambao wapo nje ya nchi kwa ajili ya elimu ya juu pia nina watu wangu wa nguvu ambao wana ndoto hizo. April 8 2016, Forbes kupitia…
Idris Sultan kahojiwa Kenya kuhusu Wema Sepetu na ile video iliyosambaa.
Kumekua na stori zinaendelea mitandaoni na hasa ni baada ya Mwigizaji Wema Sepetu aliyekaa sana kwenye vichwa vya habari hivi karibuni kwa kuwa mapenzini na mshindi wa shindano la Big…
Full Time ya Yanga vs AlAhly uwanja wa taifa Dsm April 9 2016
Ni mechi nyingine kati ya mechi zilizotazamwa sana au zilizosubiriwa sana na mashabiki wa Tanzania ambapo Yanga walikutana na AlAhly kwenye muendelezo wa headlines za CAF, game ikapigwa uwanja wa…