PICHA 7: Mwili wa Marehemu Papa Wemba ulivyowasili Congo leo April 28 2016
Asubuhi ya Jumapili April 24 2016 taarifa za kifo cha mwimbaji Mkongwe kutoka Congo DRC aitwae Papa Wemba ziliripotiwa kuwa alifariki baada ya kuanguka jukwaani akiwa anatumbuiza huko Ivory Coast, leo…
VIDEO: Majibu ya Waziri mkuu bungeni kuhusu mikataba serikali ya Tanzania inayoingia
Mkutano wa tatu, kikao cha sita umeendelea tena leo April 28 2016 bungeni Dodoma, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kayajibu baadhi ya maswali kutoka kwa Wabunge, moja ya swali kutoka kwa…
VIDEO: Swali la Mwita Waitara kwa Waziri mkuu Majaliwa bungeni April 28 2016
Mkutano wa tatu, kikao cha sita umeendelea tena leo April 28 2016 bungeni Dodoma, Katika kipindi cha maswali na majibu kwa Waziri Mkuu Mbunge wa Ukonga, Dar es salaam Mwita…
Mvua za Dar es salaam zamfikisha Mama huyu Oyster Bay Polisi.. (+Audio)
April 28 2016 kupitia Hekaheka ya Clouds FM Geah Habib ametuletea mkasa wa mama kumchoma mtoto wake na kisu chenye moto kwenye mapaja yake, kama hukupata time ya kuisikiliza hii usijali…
NEWS: Maamuzi ya Rais Magufuli kwa Mkurugenzi mwingine leo April 28 2016
Taarifa ambayo imetoka April 28 2016 ni kwamba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Uwekezaji ‘TIC’, Julieth Kairuki kuanzia…
Stori kubwa kwenye uchambuzi wa Magazeti April 28 2016…#PowerBreakfast (+Audio)
April 28 2016 millardayo.com imekurekodia uchambuzi wa magazeti kutoka Power Breakfast ya Clouds FM, ni uchambuzi wa Habari zote kubwa kupitia magazeti yaliyoandikwa leo Tanzania, Hizi ni baadhi ya Habari…
VIDEO: Kitilya na wenzake warudishwa rumande
April 01 2016 aliyekuwa Kamishna wa TRA, Harry Kitilya, Sioi Solomoni na aliyekuwa afisa mwandamizi wa benki ya Stanibic tawi la Tanzania na Miss Tanzania wa mwaka 1996 Shose Sinare walifikishwa katika Mahakama ya…
Video ya Snura ‘Chura’ haitopelekwa kwenye Tv
Baada ya video ya msanii wa Bongofleva Snura kuzinduliwa na kuitoa rasmi video ya ngoma yake mpya ya Chura, headlines nyingi zimekuwa zikiandikwa mitandaoni kuhusiana na video hiyo, wapo wanaoisifia…
PICHA 12: Inawezekana Daraja la ‘Kigamboni’ siku likaingia kwenye list kama hii?
Mtu wangu tumeshuhudia Daraja linalounganisha Kigamboni na Kurasini likizinduliwa hivi karibuni na daraja limepewa jina la ‘Nyerere Bridge’, daraja hilo limekuwa kivutio kwa wengi ndani na hata nje ya nchi.…
VIDEO: Rammy na furaha ya dili 3 Nigeria.. Mapenzi motomoto kwa Masogange
Staa kutoka Bongo Movie Rammy Galis alfajiri ya April 27 2016 alirudi Dar es Salaam akitokea Nigeria alipokwenda kufanya filamu aliyoshirikishwa na director wa Nigeria ambapo baada ya kurudi akiwa Airport Dar…