Dakika 1 na sekunde 58 za video ya Cristiano Ronaldo akionesha mjengo wake na sehemu anayoipenda …
Wachezaji soka wa Ulaya ni watu ambao wasiri sana katika maisha yao, kutokana na umaarufu wao mara nyingi wamekuwa wakifuatiliwa kwa kila kitu wanachokifanya, Cristiano Ronaldo staa wa timu ya…
Rais Magufuli kamsimamisha mwingine Dec 22 2015…(+Audio)
Leo Dec 22 2015 Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametangaza kumsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hodhi ya rasilimali za reli Tanzania (RAHCO) Mhandisi Benhadard. Hapa nimekusogeze dakika…
Baada ya Canavaro kutaja lini atafikiria kustaafu soka, Abdi Kassim kataja mwaka kabisa !!! (+Audio)
Headlines za wanasoka wa kibongo kuulizwa kuhusu lini watastaafu kucheza soka zimekuwa zikiandikwa sana mitandaoni na hata kwenye vyombo vya habari, alianza kusikika nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania…
Hadi June 2011, hii ndio ilikuwa list ya wanasoka wenye uwezo wa kupiga mashuti duniani (+Video)
Imekuwa ni kawaida kukumbushana vitu mbalimbali vinayohusu soka mtu wangu wa nguvu na leo December 22, nimeona sio vibaya nikikusogezea list ya mastaa wa soka waliotamba na ambao bado wanatamba kwa…
Exclusive ya Shilole: Allivyoolewa na dereva wa Lori, alivyokuwa Muhudumu Hotelini na alivyoagizwa kumtongoza Ray.
Kutana na Exclusive Interview ya mwimbaji wa bongofleva ambaye anatupa stori zake zote, za jinsi alivyokuja mara ya kwanza Dar es salaam baada ya kuolewa na dereva wa Lori akitokea…
Sababu zaidi ya 3 zinazofanya Rwanda wamkubali Rais Paul Kagame
Rwanda ni nchi ambayo ina watu zaidi ya milioni kumi ambapo moja kati ya sababu zilizofanya Rwanda wamkubali zaidi na hata kumpa kura nyingi za ndio kwenye mchakato wa kubadili…
Video ya Diamond alivyojitokeza mbele ya watu wake maeneo ya Karume sokoni Dar
Diamond Platnumz alijitokeza mbele ya fans December 22 2015 ikiwa ni siku chache zimebaki ili akafanye show ya Xmas Dar Live Mbagala na kwa mara ya kwanza ataonyesha kazi kwenye…
Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote
Wanasema usafiri wa ndege ni usafiri salama zaidi duniani…. kwenye hii jamaa wamewaza ni jinsi gani abiria wanaweza kutolewa kwenye ndege bila shida… kwenye hii video hapa chini utaweza kujionea…
Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba …
Baada ya stori nyingi kuingia katika headlines kwa siku za hivi karibuni kuhusu uamuzi wa moja kati ya mabilionea wa Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, mengi yameandikwa na mengi…
Picha 18 za Mbunge Professor Jay na watu wake wa Mikumi Morogoro December 22
Dec 22, 2015 Mbunge wa jimbo la Mikumi mkoani Morogoro, Mh. Joseph Haule aka Professor Jay kwa ruhusa ya CHADEMA amefanya mkutano wa kuwashukuru Wananchi wake kwa kumchagua kuwa mbunge wa…