Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika …
Mtu wangu wa nguvu najua headlines za usajili wa dirisha dogo kwa Bongo zimepita na sasa tunaelekea katika usajili wa dirisha dogo la mwezi January barani Ulaya, tumeona vilabu vya Man…
Ninayo ripoti ya Rais Magufuli alivyothibitisha kumsimamisha Mkurugenzi shirika la reli
Siku ya December 22 2015 inanifikia ripoti nyingine inayohusiana na maamuzi ya Rais John Magufuli Ikulu Dar es Salaam. Ripoti yenyewe inahusu kusimamishwa kazi kwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni hodhi…
Good News: Rock City Mall imekamilika, hizi ndio sifa zake kubwa usizozijua…(+Audio)
Kwa mara nyingine tena nakusogezea stori kutokea Mwanza kuhusiana na jengo jipya la Rock City Mall ambalomiezi kadhaa iliyopita lilianza kuchukua headlines baada ya kuonekana ndio Shopping Mall kubwa kuwahi kujengwa katika…
Tajikistan nako shamrashamra za Christmas ni marufuku vyuoni..!!
Tajikistan ni moja ya nchi ambazo ziko bara la Asia, kilichoteka vichwa vya habari sasahivi ni ishu ya ‘MARUFUKU’ iliyopigwa kuhusiana na shamrashamra za sikukuu za Christmas siku chache zijazo.…
Headlines 10 za magazeti ya Ulaya, kabla ya Jose Mourinho kufukuzwa Chelsea …
Ikiwa ni siku tano zimepita toka uongozi wa bodi ya Chelsea utangaze kumfuta kazi aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo Jose Mourinho, mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee headlines 10…
Pesa ya China inaruhusiwa kutumika Zimbabwe? Kilichonifikia ni hiki..
Kwa kipindi kirefu Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe hajawa kwenye uhusiano mzuri na nchi za Ulaya na Marekani… upande wa pili Rais huyo amekuwa rafiki mkubwa sana na nchi ya…
Usiku wa Dec 21 Ozil kaweka rekodi hii, hakuna mchezaji yoyote wa Ligi 5 kubwa Ulaya aliyeifikia msimu huu …
Usiku wa December 21 klabu ya Arsenal inayofundishwa na kocha wa kifaransa Arsene Wenger iliingia katika headlines za ushindi baada ya kuibuka na ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Manchester…
Mrema hajafuta kesi ya Ubunge wa Mbatia, kingine kilichomuumiza?….(+Audio)
Baada ya kuenea kwa taarifa ya aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la Vunjo Augustine Mrema (TLP) kuwa kaamua kufuta kesi ya kupinga ushindi wa Mbunge James Mbatia (NCCR-Mageuzi) huu ni wakati wako wa…
Mwanamke alivyokimbiwa na mume baada ya kujifungua Muhimbili Dar… #Hekaheka (+Audio)
Hii stori imesikika kwenye show ya ‘Leo Tena‘ Clouds FM ambapo mwanamke mmoja amekimbiwa na mumewe baada ya kujifungua hospitali ya Muhimbili Dar es Salaam. Mwanamke huyo amesema baada ya…
Kabla mwaka haujaisha huu ni ushindi mwingine kwa staa wa tennis duniani…
Staa wa tennis duniani Andy Murray ameingia kwenye headlines baada ya kuibuka mshindi katika nafasi ya mchezaji bora wa mchezo huo kupitia tuzo za BBC. Murray aliibuka mshindi akiwa huko huko…