Sababu za Raymond wa WCB kukaa na rasta ndani ya saa 16 kisha kuzinyoa
Ni Agosti 3, 2016 ambapo msanii kutokea WCB Raymond aliingia kwenye headlines baada ya kuchukua maamuzi ya kufunga rasta huku ikionekana kuwakwaza mashabiki wake wakimtaka hakitoe Staa huyo amekubali kuipata…
Lina anayofuraha kutuletea hii single mpya ‘Raha jipe mwenyewe’
Ni msanii Lina Sanga ambae leo anayofuraha kutuletea hii single yake mpya iitwayo Raha jipe mwenyewe, wimbo umetayarishwa katika studio za Mr T Touch. Unaweza ukabonyeza play hapa kuusikiliza wimbo…
PICHA: Kipre Tchetche katambulishwa Al Nahdha FC
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ivory Coast aliyekuwa anaichezea klabu ya Azam FC Kipre Tchetche sasa ni rasmi hatoichezea tena klabu ya Azam FC katika msimu mpya unaotarajia kuanza hivi karibuni.…
Maziwa ya kopo na ya ng’ombe yatajwa kuwa hatari kwa watoto
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
JB kustaafu kuigiza bongo movie? tazama alichoandika instagram
Msanii kutoka kwenye tasnia ya Bongo Movie, Jacob Stephen aka JB leo Agosti 4, 2016 anachukua headlines kwenye mtandao wake wa instagram baada ya kutangaza kuelekea kuacha kuigiza filamu na…
VIDEO: Zitto ampigia magoti JPM, aliyemweka mtanzania rehani Pakstani akamatwa
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo August 04 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=ubIWtrFqBi4 ULIKOSA MANENO YA POLISI SINGIDA BAADA YA…
VIDEO: Unadhani Shamsa Ford atajibu nini kuhusu kuolewa hivi karibuni?
Jina lake limepata ujazo kwenye uigizaji wa movie za kitanzania maarufu kama bongo movie lakini pia jina lake lilitajwa sana kipindi cha juzi kati alivyokua mapenzini na Nay wa Mitego…
Sio kwamba Keisha hajui watu wamemmiss bongoflevani
Ukiwauliza mtaani nani na nani wamemisika bongoflevani nina uhakika na jina la Keisha halitokosekana, Watanzania waliruka nae toka time hizo yuko Tiptop Connection na sasa ni solo Artist. Amekutana na…
VIDEO: Rais Obama amsifia Mtanzania Geline Fuko Washington DC + mambo 7 ya kufahamu
Rais Barack Obama wa Marekani amekutana na vijana mbalimbali kutoka bara la Afrika ikiwa ni mpango wa serikali yake kila mwaka toka mwaka 2014 kukutana na vijana hao wanaohusika na…
Magazeti ya Tanzania August 4, 2016 kuanzia Udaku, Hardnews na michezo
August 4 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…