Patoranking kajibu kwanini hakuna msanii wa Afrika Mashariki kwenye album yake
Ngoma yake ambayo ilikua kubwa sana Tanzania na Afrika kwa ujumla ni 'my woman' ambapo sasa staa huyu wa Nigeria aitwae Patoranking amekuja Dar es salaam Tanzania kufanya Interview na…
Nay wa Mitego ndio kamalizana na BASATA? sikia alichosema
July 16, 2016 Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) lilitoa tamko la kuufungia wimbo wa msanii wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego uitwao 'pale kati' kwa kigezo cha kutokuwa wa madili…
Sauti Sol hawatomuimba Rais Magufuli sema kuna kitu wamemkubali
Sauti Sol ni kundi la waimbaji wakali wa muziki wa kizazi kipya kutokea Kenya, ngoma zao zilianza kuwashika Watanzania toka kitambo mpaka sasa na moja ya ngoma zao zilizolia sana…
Magazeti ya Tanzania August 2, 2016 kuanzia Udaku, Hardnews na michezo
August 2 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO & PICHA 9: Ndege kubwa itakayotengezwa na kuanza kutumika 2030
Mtu wangu Kama wewe ni mpenzi wa kutumia usafiri wa anga basi leo August 1 2016 nakusogezea ndege yenye jina AWWA-QG ambayo imetajwa na vituo vikubwa vya habari CNN na Daily Mail, Ndege…
Habari 10 kubwa kwenye TV za Tanzania August 1 2016
Habari zote zilizopewa airtime kwenye TV za Tanzania unazipata hapa mtu wangu Kama ulikosa time ya kuangalia taarifa ya Habari ya August 1 2016 usijali millardayo.com inakupa fursa ya kuziangalia Habari tano…
VIDEO & PICHA 12 : Mabasi yenye muonekano kama nyumba kwa ndani
Ni kazi yangu kukusogezea stori za mambo mbalimbali ambayo unatakiwa ufahamu mtu wangu, Leo August 1 2016 nakusogezea mabasi haya yenye muonekano kama wa nyumba kwa ndani, mabasi haya yanatumika…
Rais Magufuli akamilisha ziara yake, atoa onyo kwa walimu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe amekamilisha ziara ya siku nne Singida, Tabora, Shinyanga na Geita ambapo amefanya mkutano wa hadhara katika uwanja wa Mnadani na kuwajumuisha wananchi…
VIDEO: Sababu za Mrema kuamua kwenda kumuona Rais Magufuli
August 1 2016 Mwenyekiti wa bodi ya mahakama Tanzania Parole, Augustino Mrema alikutana na umoja wa madereva bodaboda Dar es salaam lengo likiwa ni kujua changamoto zao katika kazi ikiwa…
Video: Mpenzi mpya wa Shamsa Ford alivyojitambulisha kwenye Birthday Party.
Usiku wa July 31, 2016 Msanii kutoka kiwanda cha bongo movie Shamsa Ford alifanya Birthday Party yake kwenye ukumbi wa Bilicanas Dar es salaam, Birthday Party hiyo iliyohudhuriwa na mashabiki…