Trace imezitaja Video mbili za kitanzania kwenye Urban Hit 10
Mtu wangu July 27 2016 Trace TV kupitia chat za Urban hit 10 wamezitaja video mbili tu kutoka Tanzania kwenye chat za urban hit 10, taarifa hii ikufikie kuwa Alikiba pamoja…
VIDEO: Msanii JK comedian alivyowaigiza sauti wachekeshaji Pembe na Senga
JK Comedian nimsanii ambaye amebarikiwa kipaji cha kuweza kuigiza sauti za watu mbalimbali wakiwemo mastaa wa Tanzania, leo katuonyesha ubora wake kwa kuziigiza sauti za wachekeshaji wa long time Pembe…
AUDIO: Kauli ya Afande Sele baada ya kusikia Nay wa Mitego kafungiwa
July 27 2016 Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) lilitoa tamko la kumfungia kutofanya muziki msanii wa bongo flava Nay wa Mitego kwa muda usiojulikana kwa makosa matatu ikiwemo kutoa wimbo…
VIDEO: Wabunge wa CHADEMA wahojiwa na polisi kwa saa tatu Arusha
Wabunge wawili akiwemo mbunge wa viti maalum Karatu, Cesilia Pareso, Mbunge wa karatu William Qambalo, Mwenyekiti wa halmashauri pamoja na diwani wa kata ya Nganako wote CHADEMA wamehojiwa na jeshi…
TP Mazembe wameimarisha matumaini ya Yanga kufuzu nusu fainali ya CAF
Maombi na furaha ya watanzania wote wazalendo ni kuona Yanga ikifanikiwa kuingia katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la shirikisho barani Afrika CAF, licha ya kuwa nafasi…
Real Madrid wanavyovuruga dili la Paul Pogba kujiunga na Man United
Bado July 27 2016 mitandao ya soka Ulaya imeandika headlines za usajili za kiungo wa kimataifa wa Ufaransa anayeichezea klabu ya Juventus ya Italia Paul Pogba kuhusishwa kujiunga na Man…
Rais Magufuli kawaapisha wateule wengine wawili leo July 27 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemuapisha Bw. Oliva Paul Joseph Mhaiki kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC). Aidha, Rais Magufuli amemuapisha Mwl.…
AUDIO: Kesi iliyokuwa ikimkabili Lawrence Masha na wenzake yatolewa uamuzi
Leo July 27 2016 mahakama ya wilaya ya Mpanda imetoa uamuzi wa kesi iliyokuwa ikimkabilia aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Mbunge wa Nyamagana Mwanza Lawrence Kego Masha na washtakiwa wengi ambao…
VIDEO: Baada ya kukaa siku 2 mfululizo, CHADEMA wamekuja na hili
July 27 2016 Kamati kuu ya chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kikiongozwa na mwenyekiti wake Freeman Mbowe kimekutana na waandishi wa habari Dar es salaam na kutangaza kufanya mikutano…
PICHA & VIDEO: Mapokezi ya Gonzalo Higuain alipowasili Juventus
Baada ya headlines za muda mrefu kuhusiana na mshambuliaji wa kimataifa wa Argentina aliyekuwa anaichezea klabu ya Napoli Gonzalo Higuain kuhusishwa kujiunga na Juventus ya Italia, July 26 zilithibitika na leo…