Time kuenjoy hii single mpya kutoka kwa Timbulo akiwa na Malaika…
Msanii Timbulo leo July 12, 2016 ametosogezea hii single mpya iitwayo 'Ngomani' aliyomshirikisha Malaika, unweza ukabonyeza HAPA kuusikiliza wimbo huo. Ukishamaliza kuisikiliza single hiyo mpya sio mbaya ukituachia na comment yako…
PICHA 7 : DC wa Korogwe alivyobeba tofali baada ya shule kubaki na darasa moja tu lililo salama
June 30 2016 ilikuwa siku ya mwisho ambayo Rais Dk John Pombe Magufuli aliitoa kwa wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kumaliza tatizo la madawati lililokuwa linasumbua kwa miaka…
PICHA 20: Schweinsteiger wa Man United kafunga ndoa na staa wa tennis
Staa wa timu ya taifa ya Ujerumani na klabu ya Man United ya England Bastian Schweinsteiger leo July 12 2016 ametangaza kufunga ndoa na mpenzi wake raia wa Serbia Ana…
AudioMPYA: Nay wa Mitego katuletea hii single mpya ‘Pale kati’
Baada ya kutamba na ‘Shika Adabu yako' , Staa wa bongoflevani Nay wa Mitego tayari amekusogezea tena mdundo mpya unaitwa ‘Pale Kati'. ukishamaliza kuisikiliza single hiyo mpya sio mbaya ukituachia na comment yako ili…
VideoMPYA: Diamond Platnumz na P Square wametuletea hii video yao mpya leo
Diamond Platnumz ambaye ni muda umepita toka athibitishe kufanya collabo na wasanii mapacha wanaounda kundi la P Square, Peter & Paul leo July 12 ameamua kuachia rasmi video hiyo iliyokuwa…
VIDEO: Shilole kufanikisha hiki ili asiabike atakapokutana na Beyonce….
Perfect Crispin ni mtangazaji wa Clouds FM ambaye hapa anatusogezea stori zilizochukua headlines kutoka kwenye tasnia ya Bongo Fleva, ambapo leo July 12, 2016 ametusogezea hizi stori tatu ikiwemo ya Shilole kutafuta…
VIDEO: Shabiki wa Mbeya City aliyejaribu kutengeneza Helicopter
July 12 2016 headlines za teknolojia zimechukua nafasi, mtu wangu wa nguvu nimekutana na documentary fupi ya kutoka mbeyacityfc.com inayomuonesha shabiki wa Mbeya City Adam aliyejaribu kutengeneza helicopter ambayo kwa…
VIDEO: Mambo ya kufahamu pale sarafu ya Afrika Mashariki itakapoanza kutumika
Mchakato wa kuanzisha umoja wa fedha unaolenga kuanzishwa kwa sarafu moja kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ulianza januari 2011 wakati majadiliano kati ya nchi wanachama wa jumuiya…
CONFIRMED: FC Barcelona imemsajili staa mpya Nou Camp
Klabu ya FC Barcelona ya Hispania leo July 12 2016 imetangaza kukamilisha usajili wa mchezaji mwingine atakayejiunga na klabu yao kuanzia msimu wa 2016/2017, Barcelona kupitia tovuti yao wametangaza kumsajili…
PICHA 10: Kutoka Ikulu wakati wa kiapo cha ahadi ya uadilifu kwa wakurugenzi wateule
July 12 2016 wakurugenzi wateule wa Halmashauri, Wilaya, Majiji na Manispaa wamekula kiapo cha uadilifu kwa viongozi wa umma, shughuli hiyo imefanyika Ikulu jijini Dar es Salaam. ULIKOSA HII YA…