PICHA 5: TCRA waguswa na sekta ya Elimu, hiki ndicho walichokabidhi kwa RC Paul Makonda
Tangu mwezi uanze stori inayochukua headlines kwenye upande wa Elimu kuhusu madawati, sasa leo June 10, 2016 kupitia kampuni ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imekabidhi shilingi milino 50 kwa…
Ukiniuliza movie gani kali ya kutazama leo Cinema Dar es salaam….(+TRAILER)
Najua nina watu wangu ambao wanapenda kwenda Cinema kila weekend inapofika, kama upo Dar es salaam ningependa ukaitazama hii movie mpya iitwayo Warcraft ambayo itaanza kuonesha leo June 10, 2016…
PICHA 8: Rais Magufuli alivyowaapisha Jaji wa mahakama ya Rufani pamoja na jaji Kiongozi
June 10 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli amemuapisha Jaji Shaaban Ali Lila kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani, Ikulu Jijini Dar es salaam.…
VIDEO: Ya Kangi lugola kwa Waziri wa fedha na utumbuaji majipu
Bunge la 11 mkutano wa tatu katika kikao cha 40 limeendelea tena Dodoma ambapo shughuli kubwa ilikuwa ni kuijadili bajeti kuu ya mwaka 2016/2017 Trilion 29.5 iliyowasilishwa na Waziri wa fedha…
VIDEO: Diamond baada ya kusikia ada za namba binafsi za magari TZ zimepanda
Wakati Bajeti kuu ya serikali inasomwa Dodoma bungeni juzi ndio ilijulikana kwamba ada ya namba binafsi za magari nchini Tanzania imepandishwa, ni kwa wale ambao wamekua wakiandika majina badala ya…
Maamuzi ya Mahakama Kuu kuhusu kibali cha wanafunzi St. Joseph kufungua kesi dhidi ya chuo, TCU
Wanafunzi 316 waliosimamishwa masomo chuo kikuu cha St. Joseph Kampasi ya Dar es salaam, walifungua kesi ya kuomba kibali cha kuwakilisha wenzao mahakamani pamoja na chuo kusitisha masomo wakati kesi…
PICHA 7: Madame Rita kaingia kwenye utangazaji na show yake ya TV kuonekana soon
Kwa miaka yote Tanzania imemjua kupitia show ya Bongo Star Search akiwa kama Jaji ambayo mara yake ya mwisho ilikua inaonekana kupitia CloudsTV, leo hii Madame Rita anayofuraha kuwaambia Watanzania…
Majibu ya wabunge wa upinzani kwa Naibu Spika Dk. Tulia baada ya Posho zao kusitishwa
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
Mchekeshaji wa Kenya kairudia ‘zigo remix’ ya Ay na Diamond na kuifanyia hii video
Tabia ya Wachekeshaji wa Kenya kurudia nyimbo za bongofleva kwa njia ya kuchekesha sio tabia ngeni, Erick Omondi ni miongoni mwa waliofanya hivyo hivyo kwa nyimba za Diamond, sasa ni…
Wanandoa waliodumu muda mrefu kuanza kupewa Tuzo Tanzania
Imezoeleka kwamba ndoa za kikatoliki zikifungwa zimefungwa lakini pamoja na sharti hilo idadi ya ndoa zinazovunjika inaendelea kuongezeka ambapo sasa kanisa katoliki limekuja na hii ya kuanzisha tuzo maalumu kwa Wanandoa wakongwe…