Matatu aliyotangaza Manji baada ya kuchukua fomu kugombea tena Yanga
Siku moja baada ya katibu mkuu wa Yanga Baraka Deusdedit na afisa habari wa Yanga Jerry Muro kutangaza kuwa uchaguzi wao utasimamiwa na wao wenyewe na sio shirikisho la soka…
Video: Diamond Platnumz amesema hataisahau hii comment
Mtu wangu kama utakuwa unafuatilia comment za mastaa kwenye post zao katika mitandao ya kijamii utakuwa unaziona comment mbaya na nzuri leo June 2 2016 Diamond Platnumz amezungumza na Ayo TV…
Kuanzia leo Rich Mavoko yuko mikononi mwa WCB ya Diamond Platnumz…(+Picha)
Ni June 2, 2016 ambapo label ya Wasafi inayomilikiwa na staa Diamond Platnumz inaingia kwenye headlines za Bongo Fleva baada ya kumtambulisha rasmi msanii wao mpya Rich Mavoko ambaye anakuwa…
Video: Jambo la kufahamu baada ya Paul Makonda kukutana na Jeshi la Maji la China
Baada ya Jeshi la Maji la nchini China kuwasili nchini, June i 2016 Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda alienda kuwaaga na kulieleza Jeshi la Maji la…
Video: Ben Paul anatualika kutazama utengenezwaji wa ‘Moyo Mashine’
Msanii wa muziki wa R&B Ben Paul baada ya kuachia video yake ya Moyo Mashine leo June 2 2016 anatualika kutazama jinsi video yake hiyo ilivyokuwa inatengezwa chini ya Direcor…
VIDEO: Dakika 2 za Wabunge wa upinzani walivyotoka bungeni wakidai hawana imani na Naibu Spika
May 30 2016 vyama vya upinzani bungeni vilitangaza kuwa havitakuwa vikishiriki vikao vyovyote vya bunge vitakavyokuwa vikiongozwa na Naibu spika Tulia Ackson kwa madai kuwa hawana imani naye baada ya…
Baada ya wabunge saba wa upinzani kusimamishwa sasa kukumbana na kibano kingine
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter>>>@millardayo na Zote nakusogezea hapa chini Moja ya story kubwa…
#VIDEO: Naibu Spika awajibu UKAWA, JK asema bila misaada hatuendi
AyoTV kila siku asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania ambapo Alice Tupa ndio ataifanya hii kazi kuhakikisha unapata habari zote kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania yenye hardnews, michezo na udaku vilevile… bonyeza…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 2, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 2 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
Video: Baada ya Rayvany kuachia ‘Natafuta kiki’ Mchekeshaji Stan Bakora kaifanyia video..
Baada ya Msanii kutoka lebel ya WCB Rayvany kuachia hitsong yake ya 'Natafuta Kiki' leo June 1 2016 mchekeshaji Stan Bakora anatualika kwenye video yake aliyoifanya kupitia hitsong ya wimbo…