Kutana na Edwin Bruno, kijana mwingine wa Tanzania aliyetajwa Forbes
May 28 2016 alianza kutajwa Mrembo Mtanzania ambaye ni Miss Universe Tanzania 2010 Hellen Dause kuwa miongoni mwa Wajasiriamali 30 wa Afrika wenye umri chini ya miaka 30 ambao wanatarajiwa kuwa…
Video 7 za Bongofleva zilizochezwa TRACE URBAN na MTV BASE May 31 2016
Ni fahari kwa kila msanii sasa hivi kuona video yake imechezwa kwenye TV za kimataifa kama TRACE URBAN na MTV BASE zikiwa ni TV stations ambazo zina mamilioni ya Watazamaji kwenye…
Pigo walilopata timu ya taifa Ufaransa kuelekea EURO 2016
Kama wewe ni mmoja kati ya mashabiki wa soka wanaosubiria kwa hamu michuano ya Euro 2016 kuanza, basi naomba nikusogezee habari ambazo imezipata millardayo.com usiku wa June 1 ni kuhusu…
VIDEO: ACT yaviandikia barua vyama vingine kuungana Jumapili Dsm
Baada ya wabunge saba wa kutoka kambi ya upinzani bungeni kusimamishwa kwa makosa mbalimbali na kuchukua vichwa vya habari toka usiku wa mei 30 2016. Wabunge waliosimamishwa kuingia bungeni ni…
PICHA & VIDEO: Couple tisa zakushangaza, zilizovunja rekodi duniani.
Ni kazi yangu kukuletea stori mbalimbali ambazo zinatrend duniani mtu wangu na nyingine zitakuwa zakushangaza, mfano ni hii ya Leo August 27 2016 nakusogezea stori ya couple tisa zilizochukua headlines…
Maamuzi ya BMT kuhusu PST katika mchezo wa ngumi na uchaguzi wa Yanga
Kama nimpenda michezo leo kuna mambo mawili unatakiwa kufahamu kutoka katika baraza la michezo la Taifa BMT, Baraza la michezo la Taifa leo May 31 2016 limetangaza rasmi kusimamisha shughuli…
Sababu za Diamond Platnumz kutokuwa na dream ya kuwa chini ya record label yoyote
Perfect Crispin ni mtangazaji wa Clouds FM ambaye hapa anatusogezea stori zilizochukua headlines kutoka kwenye tasnia ya Bongo Fleva, ambapo leo May 31 2016 ametusogezea hizi stori tatu ikiwemo ya Diamond…
Sentensi 3 za Jose Mourinho baada ya kuulizwa kuhusu upinzani wake na Pep Guardiola
Ligi Kuu Uingereza msimu wa 2016/2017 unatarajiwa utakuwa moja kati ya msimu unaovutia zaidi Uingereza, hiyo inatokana na Jose Mourinho kujiunga na Man United lakini pia Pep Guardiola kujiunga na…
VIDEO: Mbunge Lusinde alivyoongelea Wapinzani kukosoa safari za nje ya nchi za JK na JPM
Bado tunazisogelea headlines za Bungeni Dodoma ambapo leo May 31 2016 Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kikanda na Kimataifa kupitia kwa Waziri wake Augustine Mahiga imeomba…
COMEDY: Joti katuletea ya Mwanamke wa mjini alivyokutana na Mkongo
Inawezekana siku yako haijawa poa sana leo, basi chukua time hii kuirejesha furaha kwa kucheka na vituko vya mchekeshaji Joti ambaye time hii amecheza kama mwanamke aliyekutana na Cha Mkongo…