Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 30, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
May30 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter…
VIDEO: Harmonize alivyompandisha kwenye stage mama yake na kumtambulisha Jackline Wolper
Usiku wa May 27 2016 wakazi wa Mtwara walipata burudani kutoka kwa w na Msanii kutoka Label ya Wasafi, Harmonize ambaye aliongozana na mpenzi wake Jackline Wolper, Kabla ya kumtambulisha Jackline Wolper kwa…
Good News kwa mtanzania Mbwana Samatta, msimu ujao 2016/2017 utamuona Europa League
Wakati timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars ikicheza mechi ya kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya Kenya bila ya nahodha wake Mbwana Samatta na kulazimishwa sare ya goli 1-1,…
Good News kwa muziki wa Afrika Chris Brown kampa dili Wizkid
Najua jina la Chris Brown sio geni masikioni mwa watu wanaopenda muziki, basi leo May 29 2016 huenda ikawa ni good news kwa muziki wa Afrika, baada ya msanii kutoka…
Usisahau kuwa Taifa Stars imecheza na Kenya leo May 29 2016 Nairobi
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars May 29 2016 ilicheza mchezo wake wa kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya Kenya Nairobi Kenya, Taifa Stars ilicheza mchezo huo pasipo…
VIDEO: Top 10 ya kali zilizobamba Bungeni wiki hii, vituko havijakosekana..
Kama na wewe unafuatilia ishu za bungeni basi najua kabisa utaenjoy nikikuweka karibu kabisa na hizi video 10 zilizobamba wiki hii kwenye vikao vya bunge la 11 linaloendelea. 1. WABUNGE WAMECHEKA…
PICHA 20 : Real Madrid walivyowasili jijini Madrid na Kombe lao la 11 la UEFA
Klabu ya Real Madrid ya Hispania usiku wa May 28 2016 ilicheza mchezo wake wa fainali ya Klabu Bingwa barani dhidi ya Atletico Madrid katika jiji la Milan Italia uwanja…
Serikali imetangaza rasmi mwisho wa matumizi ya mifuko ya plastiki
May 26 2016 Serikali kupitia Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, January Makamba imepiga marufuku moja kwa moja, utengenezaji, usambazaji, uingizaji nchini na matumizi ya…
Madaktari bingwa duniani kupinga kufanyika kwa mashindano ya OLIMPIKI 2016 Sababu…
Mashindano ya Olimpiki ambayo hufanyika kila baada ya miaka minne yakihusisha michezo tofautitofauti na ikiwa imesalia miezi mitatu kufanyika kwa mashindano hayo huko mjini Rio de Jenairo Brazil msimu huu…
PICHA 10: Miss Arusha 2016 alivyopatikana na burudani kutoka kwa Navy Kenzo
Usiku wa May 28 2016 ilikuwa ni siku ya kumtafuta Miss Arusha 2016 ambaye amerithi Taji lililokuwa likishikiliwa na Miss Arusha 2014 Lilian Kamanzima ambaye pia ndiye Miss Tanzania kwa sasa,…