VideoMPYA: Makomando wanatukaribisha kuitazama hii ‘Sasanuvo’
Kundi la Makomando likiongozwa na wakali Muki na Fredy kutokea kiwanda cha Bongoflevani leo May 28 2016 wanatualika kwenye video yao mpya 'Sasanuvo' ikiongozwa na Kwetu Studio, Mtu wangu usisahau…
Mtanzania katajwa katika list ya wajasiriamali chini ya miaka 30 Afrika wanaotarajiwa kuwa mabilionea
Jarida maarufu la Forbes Afrika mwishoni mwa wiki hii limeiachia list ya wajasiriamali 30 wanaotarajiwa kuwa wakubwa kutoka bara la Afrika katika sekta zote kwa mwaka 2016, hawa ni mabilionea wa…
VideoFUPI: Baraza la wazee Yanga leo May 28 2016 limeomba muongozi TFF, kuhusu ………
Klabu ya Dar es Salaam Young Africans leo Jumamosi ya May 28 2016 kupitia katibu wa baraza la wazee wa klabu hiyo mzee Ibrahimu Akilimali wameamua kuomba muongoz kwa TFF,…
VIDEO: Khalid Chokoraa katangaza rasmi kuondoka Mapacha Watatu
Mwimbaji wa muziki wa Bendi Khalid Chokoraa ni miongoni mwa wakali wenye majina yao kwenye muziki wa dansi, alipata time ya kufanya Interview na Millard Ayo na akazungumzia taarifa za yeye kutoka bendi ya…
TRAILER: Movie ya Action niliyokutana nayo Cinema Dar jana.. Idris Elba kafanya yake
Noma inaanzia kwa mwizi wa kuchomolea watu mifukoni, anaiba mkoba wenye bomu ambao alikua kaubeba Mrembo aliyetumwa kwenda kulipua mahali, baadae mwizi huyu akautupa kwenye pipa la taka bila kujua nini kilikuwemo ndani...…
VIDEO: Mbunge Pauline ashangazwa na Waziri aliyetenga bilioni 8 kujenga ofisi
Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul ni miongoni mwa waliosimama na kuwasha kipaza sauti kwenye bunge la bajeti linaloendelea sasa hivi, katoa maoni yake kuhusu bajeti iliyoombwa na Wizara ya Elimu, Sayansi,…
‘Wanaume wenye Korodani zisizoshuka hatarini’
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter>>>@millardayo na Zote nakusogezea hapa chini. Moja ya stori kubwa…
VIDEO: ‘Ni aibu miaka 50 ya Uhuru bado tunajadili madawati’-Mbunge Mbaruku Bakari
Najua kuna watu wangu wao damdam na stori za Bungeni, kiapo changu ni kuhakikisha nazisogeza zote zinazonifikia ili kuuweka ukaribu wa kuzipata. Wakati Bunge la 11 linaendelea nakukutanisha na Mbunge…
VIDEO: Miss IFM kwa mwaka 2016 alivyopatikana na burudani kutoka kwa Navy Kenzo
Usiku wa May 27 2016 ilikuwa siku ya chuo cha usimamizi wa fedha (IFM) kumtafuta mrembo atakayerithi taji la umiss lililokuwa linashikiliwa na Miss IFM 2015 Sophia Basil Macha, mchujo…
PICHA 25:Kutoka Mtwara agizo la Rais Magufuli linatiliwa mkazo, leo ni usafi tu mwanzo mwisho…
Rais John Pombe Magufuli aliagiza December 9 2015 iwe siku ya usafi nchi nzima, na agizo likatekelezwa kama ilivyoagizwa. Lakini viongozi wa ngazi mbalimbali wengine walijipangia kwamba kila baada ya…