PICHA 18: Unaikumbuka Titanic? huu ndio muonekano wa ndani wa meli mpya kubwa duniani
Mapema wiki hii meli ambayo ina uwezo wa kuchukua abiria 6,780 iling'oa nanga Southampton kwa ajili ya maandalizi ya mwisho kabla ya uzinduzi rasmi, Watu 3000 wamepata bahati kupanda meli…
Metro na AS wameandika siku na muda wa Man United kumtangaza Jose Mourinho kama kocha wao
Usiku wa May 21 2016 vyombo vingi vya habari za michezo barani Ulaya vinategemea kuandika stori tofauti na iliyozoeleka kuhusu tetesi za Jose Mourinho, tetesi zilizopo kwenye headlines kwa muda…
Video 10 kali kwa East Africa zilizotajwa na kituo cha TV cha Sound City cha Nigeria, watanzania 6 kwenye list
Jumamosi ya May 21 2016 stori ambayo imegonga headlines za muziki wa Bongo fleva ni kutoka Nigeria katika kituo cha TV cha Sound City, kituo ambacho ni moja kati ya…
Picha15: Waziri Nape, Makamba na Flaviana Matata kwenye Ibada ya Kumbukumbu ya meli ya Mv Bukoba
May 21 2016 Tanzania inaingia kwenye majonzi ya kumbukumbu ya kuzama meli ya Mv Bukoba ndani ya ziwa Victoria leo ni miaka 20 tangu meli izame mwaka 1996, Watanzania zaidi…
VIDEO: Wizara ya Ardhi imeomba kutengewa kiasi cha Bilion 61 kama bajeti yake ijayo
May 21 2016 ilikuwa ni zamu ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kuwasilisha Bungeni makadirio ya mapato na matumizi Shilingi 61,873,949,000 kwa mwaka wa fedha 2016/2017. Hotuba…
VIDEO: Muonekano wa barabara za k/koo baada ya wamachinga kuondolewa
May 9 2016 ndio siku rasmi ambayo huduma ya mabasi yaendayo haraka yalianza Dar, kama utakuwa ni mwenyeji wa Jiji la Dar utakua unafahamu biashara za wamachinga zilizokuwa zikiendelea pembezoni…
VIDEO: Uzinduzi wa Kili Challenge na Mrisho Mpoto May 20 2016
Najua mtu wangu wa nguvu tayari ulizipata taarifa za Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ kufanikiwa kupata dili la kuwa balozi wa Kili Challenge kwa mwaka 2016, Mrisho Mpoto ambaye amesaini mkataba wa…
VIDEO: Mbunge Agness Marwa kasimama tena Bungeni, haya ndiyo kayaongea..
Agness Marwa ni Mbunge wa Viti maalum Tarime ambaye alizichukua headlines kwenye mitandao mbalimbali baada ya kauli yake ya kusema anatamani hata kulia anapoona Wabunge wanataka Bunge kurushwa Live, Hii…
Madai ya kuwepo magaidi Tanga, nusu ya watanzania ni maskini
AyoTV kila siku asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania ambapo Alice Tupa ndio ataifanya hii kazi kuhakikisha unapata habari zote kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania yenye hardnews, michezo na udaku vilevile… bonyeza…
Madhara watakayoyapata wajawazito kwa kula chipsi
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya stori za Magazeti ya…