VIDEO: Ligi Kuu Ulaya zimemalizika, angalia magoli 100 bora yaliofungwa msimu wa 2015/2016
Ligi Kuu za soka nyingi duniani zimemalizika ila wakati wa Ligi Kuu na mashindano mbalimbali yakiendelea tulikuwa tukishuhudia magoli mengi yakifungwa kwa ufundi na stahili tofauti tofauti, mtu wangu wa…
VIDEO: Exclusive ya Mbunge Goodluck kasema na wanaoponda kauli yake ya sanamu ya Diamond
Baada ya headlines nyingi kuandikwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya kauli ya Mbunge wa Ulanga Goodluck Mlinga alipokuwa akichangia katika bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo…
Ombaomba Dar wameonekana kurudi maeneo ya jiji, Polisi wana huu mkakati
Siku kadhaa zilizopita Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam lilianza kutekeleza agizo la kuwaondoa ombaomba waliopo katika jiji la Dar es salaam lililotolewa na Mkuu wa Mkoa…
Baada ya kutoa siku 60 kwa wadaiwa mikopo elimu ya juu kujitokeza, Bodi wameitoa tathmini hii
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) March 14 2016 ilitoa agizo la siku 60 kuwa wadaiwa wa mikopo ya elimu ya juu kujitokeza ili kuanza kulipa madeni yao, wadaiwa…
VIDEO: Hii ndio simu kali msimu huu mtu wangu icheck hapa……
Smartphone zimeendelea kurahisisha maisha ya watumiaji wake kila kukicha. Najaribu kufikiri kama maisha bila muziki yangelikuwaje au muziki ungekuwepo lakini usingekuwa na kiungo chochote kile yaani mashairi tupu bila mdundo.…
VIDEO: Exclusive ya Halima Bulembo Mbunge mdogo kuliko wote Bungeni ‘Sipendi kutumwatumwa’
Najua kuna watu wangu wao ni damdam kufuatilia historia za maisha ya mastaa wao, kazi yangu siku zote ni kuhakikisha nalisimamia hili na kuzisogeza hapa. Leo katika Exclusive Interview ya…
Diamond kwenye headlines nyingine na Wizkid, AKA, Drake, Beyonce na Rihanna
May 20 2016 Tanzania imeamka na habari nyingine njema za Diamond Platnumz kuchaguliwa tena kushiriki kwenye tuzo za kituo maarufu cha TV Marekani kiitwacho BET ambapo Platnumz amekua na mwaka mwingine…
Kisa cha mauaji Msikitini Mwanza hiki hapa…..
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa…
Tuko kwenye saa 48 za kujua mapya ya Alikiba, jingine ni hili la The Source Magazine
Tunaendelea kuyafahamu mambo 7 ambayo yanaendelea kutangazwa ndani ya saa 48 kumuhusu mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba ambaye alikuja South Africa juzi May 18 na jana May 19 amesaini mkataba…
Msichana mwingine kati ya wale 276 waliotekwa na Boko Haram apatikana
Baada ya miaka miwili tangu kutekwa kwa wasichana zaidi ya 276 wa shule na kupatikana kwa mmoja May 18 2016 msichana mwingine Serah Luka amepatikana kaskazini mashariki mwa jimbo la Borno.…