VideoFUPI: Baada ya abiria kuanza kulipia mabasi yaendayo haraka Dar, haya ndio yamejitokeza leo
Baada ya siku saba ambazo wananchi wa Dar es salaam kutumia usafiri wa mabasi yaendayo haraka bure, leo May 16 2016 utaratibu wa kulipia umeanza ambazo baadhi ya changamoto zimejitokeza…
Mambo matano yaliyosababisha hotuba ya upinzani kukataliwa Bungeni leo
May 15 2106 wizara ya mambo ya ndani ya nchi ilikuwa ikiwasilisha hotuba yake ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2016/2017 Taratibu huwa baada ya Wizara…
Shetta kazungumzia ngoma yake ‘namjua’ stlye kufanana na ngoma ya Diamond na Harmonize
Kama umekuwa mfuatiliaji wa vichupa vilivyotoka hivi karibuni, ukiangalia Harmonize 'Bado', halafu ukiangalia wimbo wa Shetta 'namjua' aina ya video yake haina tofauti sana na 'namba one' ya Diamond na…
PICHA & VIDEO: Mashabiki wameamua kuchoma moto uwanja wa timu yao, kisa ?
Mashabiki wa soka nchini Uturuki wameingia kwenye headlines baada ya maamuzi walioamua kuyafanya yamewashangaza wengi na sio ya kawaida, mashabiki wa klabu ya Eskişehirspor wameamua kuchoma uwanja wao baada ya timu…
VIDEO: Wizara ya Mambo ya Ndani imeliomba Bunge kupitisha bajeti yake ya Bilioni 864
May 16 2016 Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imewasilisha Bungeni Makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2016/2017 pamoja na kuwasilisha maombi ya fedha zaidi ya Bilioni 864.…
AudioFUPI: Mayunga ft Akon ‘Please don’t go away’ imeachiwa leo May 16 kwenye radio
Mshindi wa Airtel Trace Music Star Mayunga ambaye alipewa fursa ya kufanya collabo na msanii mkubwa wa Marekani Akon, hatimae May 16 ameachia ngoma yake mpya kwa mara ya kwanza…
VideoFUPI: Baada ya Vyombo vya moto kuanza kulipia Daraja la Nyerere, watumiaji wameyazungumza haya
Wakazi wa Dar es salaam wanaotumia vyombo vya moto kupita Daraja la Mwalimu Nyerere wameanza kulipia fedha kwa viwango vilivyotangazwa na serikali lakini baadhi yao wameomba wapunguziwe wakidai ni kubwa…
Video: Mpenzi mpya wa Nuh Mziwanda alivyojitambulisha kwenye Birthday Party..
Usiku wa May 15 2016 Msanii kutoka kiwanda cha bongoflevani Nuh Mziwanda alifanya Birthday Party yake aliyoifanyia maeneo ya nyumbani kwake Savey Jiji Dar es salaam, Birthday Party ambayo ilihuhduriwa…
Kamati ya Bunge ya Mambo ya Ndani wameyapendekeza haya kuhusu sakata la Lugumi
May 16 2016 Sakata la Mkataba tata wa Kampuni ya Lugumi Enterprises lilitarajiwa kujadiliwa bungeni wakati wa mjadala wa Makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. …
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi inataka Bilioni 864 kwenye bajeti ijayo
May 16 2016 Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imewasilisha Bungeni Makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2016/2017 pamoja na kuwasilisha maombi ya fedha zaidi ya Bilioni 864.…