VideoFUPI: Rais Magufuli alivyofanya ziara ya kushtukiza Airport Dar
May 13 2016 Rais Magufuli amefanya ziara ya kushtukiza katika Uwanja wa Ndege Dar es salaam ambapo ameiagiza Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi kwa kushirikiana na vyombo vya dola…
PICHA 8: Rais Magufuli alivyofanya ziara ya kushtukiza uwanja wa ndege Dar es salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameiagiza Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi kwa kushirikiana na vyombo vya dola kuchukua hatua mara moja dhidi ya…
VideoFUPI: Video ya Alikiba ‘Aje’ ilivyochezwa kwa mara ya kwanza MTV Base
Msanii wa Bongofleva Alikiba ambaye jana May 12 2016 ilivuja audio ya wimbo wake wa 'Aje' akiwa kamshirikisha M.I wa Nigeria, imetoka ramsi video ya wimbo huo na kutambulishwa rasmi kwa…
EXCLUSIVE PICHA 10:Bongo Fleva inalipa…Huu ndio usafiri mpya wa msanii Nuh Mziwanda
Ni Mei 13, 2016 ambapo msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda anazimiliki headlines za kumiliki usafiri mpya ambao ni matunda ya single yake mpya iitwayo Jike Shupa aliyomshirikisha AliKiba. Ni gari…
Maamuzi mapya ya Chelsea juu ya nahodha wake John Terry
Klabu ya soka ya Chelsea leo May 13 2016 imeamua kutangaza maamuzi ambayo yalikuwa hayatarajiwi na wengi, kuhusu nahodha wake na beki wake wa kati John Terry ambaye ameichezea klabu…
VIDEO: Mtazame Mbunge Agness Marwa akitamani hata kulia kisa ishu ya Bunge Live
May 13 2016 Bunge la 11 limeendelea, Wakati wa kuchangia Bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo iliyosomwa na Waziri wake Nape Nnauye Mbunge wa viti maalum CCM…
VIDEO: Wizara ya Michezo imewasilisha bajeti yake ya Bilioni 20
May 13 2016 Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imewasilisha Bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2016/2017 na Waziri mwenye dhamana hiyo Nape Nnauye. Akisoma…
PICHA 10: Mastaa wa Bongo Wema Sepetu, Masanja, JB na wengine walivyopokelewa Bungeni leo
Baada ya jana Diamond Platnumz na Mafikizolo kukaribishwa Bungeni, leo May 13 2016 Mastaa wengine wa Bongo wakiwemo Wema Sepetu, Jacob Stephen (JB), Single Mtambalike na wengine wamefika Bungeni. Hapa…
PICHA 6: Rais Magufuli alivyoagwa nchini Uganda
May 11 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli aliwasili nchini Uganda kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais Mteule wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni na…
VideoFUPI: Sakata la Sukari limemfikia Prof Lipumba kayaongea haya leo
Rais Magufuli alitoa amri ya kuzuia kuagiza sukari toka nje ya nchi akieleza kwamba viwanda vya sukari wana sukari hiyo na wanashindwa kuuza kwa sababu ya sukari iliyoagizwa kutoka nje.…