Full Video: Birthday party ya Sallam meneja wa Diamond Platnumz
Ilikua siku ya kuzaliwa kwa Meneja Sallam SK ambaye ni meneja wa mwimbaji Diamond Platnumz, party ilifanyika usiku wa May 11 2016 Element Dar es salaam ambapo mastaa kibao walitokezea…
PICHA 15: Diamond na Mafikizolo walivyoitingisha Dodoma… Waziri Nape kahudhuria pia
May 12 2016 kundi maarufu la muziki kutoka Afrika Kusini Mafikizolo pamoja na staa wa bongofleva Diamond Platnumz waliitoa burudani ya nguvu kwa watu wao wa Dodoma kwenye show iliyoitwa 'Colors of Afrika'…
Ushauri wa Rais Magufuli kwa Rais wa Uganda Yoweri Museveni
May 12 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amefanya mazungumzo na Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni muda mfupi baada ya kuhudhuria sherehe ya kuapishwa kwa…
VideoMPYA: Jennifer Lopez bado yupo… kuna hii mpya kama uliikosa ‘Ain’t your mama’
Ni miongoni mwa waimbaji wa longtime na bado wameendelea kupambana kubaki kwenye Radio na TV kupitia single zao mpya kila wakati, itazame hii yake mpya 'Ain't your mama' https://www.youtube.com/watch?v=Pgmx7z49OEk ULIIKOSA VIDEO…
List ya makocha Uingereza kufukuzwa imeongeza, mwingine kapoteza ajira yake leo May 12 2016
Headlines za makocha wa soka kupoteza ajira zao zinazidi kugonga vichwa vya habari kila kukicha duniani kote, Alhamisi ya May 12 2016 jina la kocha Roberto Martinez limeingia kwenye list…
VideoMPYA: Ben Pol kaachia hii video mpya ‘moyo mashine’ aliyoifanya South Africa
Mshindi wa KTMA mwimbaji staa wa RNB Tanzania Ben Pol katuletea kichupa kingine kipya time hii alichokifanya Afrika Kusini na single yenyewe ni 'moyo mashine' ukishaitazama usiache kutuachia comment yako…
Ben Pol kafunguka kwa nini amekuwa akiitumia Hashtag ya moyo kazi yake nini
Kama umekuwa karibu na social network za Ben Pol utakuwa umekutana na hashtag imeandikwa moyo kazi yake nini, wengi wakahisi anataka kufungua darasa la kuelezea kazi za moyo. May 12…
Rais wa Brazil Dilma Rousself kasimamishwa kazi…
Mtu wangu kama utakuwa karibu na vyombo vya habari vya kimataifa story inayochukua headline sasa hivi ni kuhusu aliyekuwa Rais wa Brazil wa kwanza mwanamke Dilma Rousself kusimamishwa kazi ya urais. Hatua…
Yusuf Manji hajaenda Mbagala mikono mitupu leo kwa wanafunzi waliokuwa wakikaa chini (+Pichaz)
Sera ya Elimu Bure kwa shule za msingi na Sekondari iliyoanzishwa na Serikali ya awamu ya tano imeleta mwamko mkubwa kwa wazazi kuwaandikisha watoto wao hasa katika shule za msingi.…
VIDEO: Baada ya Diamond na Mafikizolo kutoka nje ya bunge Dodoma leo
May 12 2016 kundi maarufu la muziki kutoka Afrika Kusini Mafikizolo pamoja na staa wa bongofleva Diamond Platnumz walipata mwaliko wa kuingia Bungeni Dodoma ambapo wakali hawa wapo Dodoma kwa ajili ya kuidondosha…