VideoMPYA: Godzilla na Mwasiti wanayo furaha kukualika kuitazama hii…- ‘First Class’
Kama wewe ni mpenzi wa kufuatilia video za bongofleva Godzilla anatualika leo kwenye hii video yake mpya ya 'First Class’ ambayo amemshirikisha mrembo kutoka bongoflevani Mwasiti, ukishaitazama video hii hapa chini…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 7 kwenye Udaku, Hardnews na michezo
May 7 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu…
Kwa mara ya kwanza jiji la London limeweka historia mpya ya Meya ambaye sio mzawa
Alfajiri ya May 7 nchi ya Uingereza kupitia jiji lake la London imeingia kwenye historia mpya kwa mara ya kwanza, baada ya kupata meya wa kwanza muislamu na asiye na…
VIDEO: Miaka 13 baada ya Cameroon kumpoteza Foe, leo tena wamempoteza staa mwingine uwanjani
Kama ni mfuatiliaji mzuri wa mitandao ya soka barani Ulaya huenda utakuwa umekutana na taarifa za kusikitisha kwa taifa la Cameroon, usiku wa May 6 2016 Cameroon na Afrika kwa…
+AUDIO: Matano ya kufahamu baada ya DC Kinondoni kwenda hospitali ya M/nyamala usiku akijifanya Mgonjwa
Usiku wa May 4 2016 Mkuu wa wilaya ya kinondoni, Ally Hapi alitembelea Hospitali ya Mwananyamala Dar es salaam kwa stlye ya tofauti ya kujidai ni mgonjwa lengo ni kujionea…
VIDEO: Kuna Mbunge kataka wanaolawiti Watoto wahasiwe, Waziri wa katiba na sheria kamjibu
Angelina Malembeka Mbunge wa viti maalum kamuuliza Waziri wa Katiba na Sheria Mwakyembe kuwa ‘adhabu inayotolewa kwa watu wanaolawiti watoto nchini adhabu imekuwa kifungo cha maisha, kwanini wahusika wasihasiwe ili…
VideoMPYA: Mabibi na Mabwana Shetta kaachia video yake mpya, itazame hapa..
May 6, 2016 Shetta ametimiza ahadi ya kutupa video yake mpya inayoambatana na ujio wake mpya ambapo hii kazi imefanywa na director Nic Roux aliyehusika kwenye utengenezaji wa video kadhaa ikiwemo ya AKA ft…
FIFA imetoa siku 30 kwa Simba kulipa deni la zaidi ya milioni 60, ikishindwa inashushwa daraja
Shirikisho la soka Ulimwenguni FIFA leo May 6 2016 limeleta barua Tanzania kwa klabu ya Simba na nakala kwa shirikisho la soka Tanzania TFF, barua ambayo inaagiza Simba kulipa pesa…
EXCLUSIVE Picha 10:Harmonize kajipatia usafiri wake mpya….
Baada ya show zake ambazo hazifiki hata 15 toka ametusua kupitia single yake ya Aiyola mkali huyu kutoka WCB ameonyesha bidii ikiwekwa popote kuna matunda. Ni gari aina ya Mark…
VIDEO: Walisema Tiboroha wa Yanga amekwenda Stand United, mwenyewe kaongea leo
Kama wewe ni mmoja kati ya watu wanaopenda soka la bongo, najua utakuwa ulikuwa ni mmoja kati ya watu waliokuwa wanasubiria leo May 6 2016 kuona katibu mkuu wa zamani…