VIDEO: Mbunge wa Iringa Rose Tweve kaguswa na hii ishu ya mapato kwa Wanawake na Vijana
Kila mwaka halmashauri hutenga asilimia tano ya mapato yake kwa ajili ya kuwakopesha wanawake na vijana, Leo Mei 5 2016 Mbunge wa viti maalum Iringa Rose Tweve ameiuliza Serikali ‘Je,…
Kauli ya C.E.O wa Azam FC baada ya timu yake kunyang’anywa point tatu na magoli matatu
Leo May 5 2016 shirikisho la soka Tanzania TFF limetangaza rasmi kuwa klabu ya Azam FC imenyang'anywa point tatu na magoli matatu kutokana na kumtumia Erasto Nyoni ambaye alikuwa na…
Nakukaribisha kuisikiliza hii single ‘Usiende mbali’ ya msanii mpya kutoka PKP Nedymusic
Baada ya Diamond Platnumz kuchukua headlines za kuwasaini wasanii kwenye label yake iitwayo WCB 'Harmonize na Raymond' ambao wawili hao wamekuwa wakifanya vizuri katika tasnia ya Bongo Fleva, sasa ni…
VIDEO: Snura alivyoongea mbele ya waandishi wa habari leo kuhusu wimbo wake wa ‘chura’ kusitishwa
Leo May 05 2016 Snura Mushi amekutana na waandishi wa habari na kuzungumzia ishu ya wimbo wake wa ‘chura’ kusitishwa, mbele ya waandishi wa Habari Snura amewaomba radhi wananchi kwa…
Hii ndio mbinu ya Zimbabwe walioamua kuitumia ili kurudisha thamani ya fedha yao
Moja kati ya habari kubwa zilizoandikwa katika mitandao leo May 5 2016 ni kuhusiana na mipango ya Zimbabwe kutengeneza dola yao ili kukidhi uhaba wa fedha uliopo nchini. Gavana wa benki…
VIDEO: Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria ya zaidi Bilioni 35 ilivyowasilishwa bungeni
Mei 5 2016 Waziri wa katiba na sheria, Harrison Mwakyembe amewasilisha bungeni mpango wa makadirio ya bajeti kwa mwaka 2016/2017. Waziri Mwakwembe amesema..>> 'Wizara yangu itaendelea na uratibu na uimarishaji…
Picha 10: Mbunge Mwita Waitara katolewa nje ya bunge baada ya kutaka kuanzisha vurugu
Bunge la 11 limeendelea tena leo Dodoma ambapo Wizara ya Katiba na Sheria ilikuwa ikiwasilisha mpango wa makadirio ya bajeti kwa mwaka 2016/2017 kupitia kwa Waziri wake Harrison Mwakyembe. Baada…
Taarifa kutoka kwa Soudy Brown, baada ya Wema kulala Hotelini na alichokiacha ndani ya Chumba hicho…
May 5 2016 Soudy Brown amekutana na taarifa ya staa kutoka kiwanda cha filamu nchini Tanzania Wema Sepetu kukutana na hizi tuhuma za kuacha Chumba alicholala kwenye Hoteli katika hali…
Umenifikia mpango wa bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria mwaka 2016/2017
Mei 5 2016 Waziri wa katiba na sheria, Harrison Mwakyembe amewasilisha bungeni mpango wa makadirio ya bajeti kwa mwaka 2016/2017. Waziri Mwakwembe amesema..>> 'Wizara yangu itaendelea na uratibu na uimarishaji…
PICHA 3: DC K’ndoni alivyotinga Hospitalini usiku kwa kujificha ili kujionea huduma
Mkuu wa wilaya ya kinondoni, Ali Hapi amekuja na style mpya ambayo ameitumia kukagua huduma ya hospitali ya Mwananyamala Kinondoni usiku, huku akijificha kama mgonjwa. PICHA KWA HISANI YA HAKI…