Maamuzi ya Kesi ya Bomoabomoa yametolewa leo April 22 2016
Bomoabomoa iliyoanza mwishoni mwa mwaka 2015 kwenye baadhi ya maeneo jijini Dar es salaam hasa ya mabondeni ikiwemo maeneo yaliyo kando na mto msimbazi ambapo zoezi hilo lilisitishwa baada ya…
PICHAZ 9: Azam FC tayari wametua Dar es Salaam wakitokea Tunisia, wanaunganisha Mwanza
Saa chache baada ya Dar es Salaam Young Africans kutua Airport Dar es Salaam, Azam FC na wao wakafuatia kutua wakitokea Tunisia na kikosi chao cha wachezaji karibia wote kasoro…
VIDEO: Imenifikia ripoti ya tuhuma za rushwa Tanzania, Waziri mkuu hajaikalia kimya..
Headline juu ya headline zimeendelea kutawala ndani ya Bunge la Tanzania, na leo April 22 2016 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipata time ya kulihutubia Taifa. Hotuba ya makadilio ya mapato…
Sababu za Ben Paul kutomuonesha Mtoto wake mpaka sasa? majibu haya hapa…. (+Audio)
April 22 2016 kupitia U Heard ya Clouds FM, nakukutanisha na stori ya msanii Ben Paul kupata mtoto wa kiume lakini mpaka sasa msanii huyo hajawahi kumuonesha mtoto wake kwa watu, Soudy…
Huyu ndio msanii kutoka bongoflevani ambaye hajawahi kupanda stage na hii Hitsong yake…(+Audio)
Mtu wangu wa nguvu stori zote za April 22 2016 kutokea kwenye 255 ya XXL, hizi hapa zisikupite,millardayo.com imekurekodia stori zote ambazo zimepata airtime leo, hii ni moja kati ya…
PICHAZ 12: Mapokezi ya Yanga Airport Dar leo April 22 2016 wakitokea Misri
Baada ya klabu ya Dar es Salaam Young African kutolewa katika mashindano ya Kombe la klabu Bingwa barani Afrika na klabu ya Al Ahly ya Misri kwa jumla ya goli…
Waziri Mkuu Majaliwa Kaguswa na kero za Elimu, katoa maagizo haya ndani ya Bunge..
Bunge la 11 limeendelea tena leo April 22 2016, Waziri mkuu Kassim Majaliwa amehutubia bunge kuhusu mapitio na mwelekeo wa kazi za Serikali na makadirio ya mapato na matumizi ya…
Kesi ya Aliyekuwa Kamishna Mkuu TRA, Miss Tanzania imeendelea Leo April 22 2016
April 01 2016 Serikali iliwapandisha kizimbani kamishna wa zamani wa Mamlaka ya Mapato Tanzania ‘TRA’ Harry Kitilya, mshindi wa taji la Miss Tanzania 1996 ambaye pia alikuwa afisa mwandamizi wa benki…
Mbunge Mwita Waitara hajafurahishwa Waandishi kuzuiwa kurekodi chochote bungeni
April 19 2016 Bunge la 11 lilianza rasmi bungeni Dodoma na baadhi ya Wizara zilianza kwa kuwasilisha bajeti zake na kutoa nafasi kwa washiriki kuzikubali au kuzikataa lakini ishu moja ambayo…
Siwema, mama mtoto wa Nay wa Mitego kafungwa jela miaka miwili, Nay kaeleza anachokijua (+Video)
Ni stori iliyoanza kuchukua headlines April 21, 2016 Ikiwa bado tunasubiria taarifa kamili kutoka Mahakamani, sasa Ayo TV ilimpata staa Nay wa Mitego kuthitibisha taarifa hizo za mzazi mwenza, Siwema…