Naibu Meya wa Jiji la Dar es salaam kapatikana leo April 21 2016
Chaguzi za Meya wa Jiji la Dar es salaam ziliahirishwa mara tatu na baadaye akapatikana Diwani wa Kata ya Vijibweni, Temeke Isaya Mwita 'Chadema' kuwa shauku kubwa ilihamia kwenye kumjua atakayekuwa…
Mapenzi yawagombanisha mastaa hawa kutoka kiwanda cha muziki wa dansi (+Audio)
Mpenzi anauma sana ndio kauli ya April 21 2016 kupitia U Heard ya Clouds Fm, nakukutanisha na stori ya Chaz Baba kumchukulia Khalid Chokoraa mpenzi wake, Soudy Brown amemtafuta Khalid Chokoraa na…
VideoFUPI: Tazama Toyota Hiace iliyozama baharini Dar es Salaam ilivyotolewa kwenye maji
Baada ya Jumatano ya April 20 2016 kuzama kwa gari ndogo aina ya Hiace ikiwa na watu wa wawili katika bahari ya Hindi eneo la Kigamboni, nimekutana na video fupi…
Joh Makini kayaongea haya kuhusiana na Video yake mpya, location je? 255 (+Audio)
Kama utakuwa ni mpenzi wa kufuatilia stori za entertaiment basi hizi hapa zisikupite, millardayo.com imekurekodia stori zote za April 21 2016 ambazo zimepata airtime kupitia 255 ya XXL na hii…
Droo ya Kombe la Shirikisho Afrika imefanyika, Yanga kapangwa na klabu yenye miaka 39
Baada ya klabu ya Dar es Salaam Young Africans kuondolewa katika michuano ya klabu Bingwa barani Afrika usiku wa April 20 2016 na klabu ya Al Ahly ya Misri kwa jumla…
VIDEO: Mafuriko na Foleni sasa mwisho Kinondoni
April 20 2016 Manispaa ya Kinondoni Dar es salaam imesaini mkataba na kampuni ya kijerumani kwa ajili ya kutoa huduma za ushauri elekezi katika usimamizi wa ujenzi wa miradi ya…
VIDEO: Diamond Platnumz, Mrisho Mpoto Walivyotajwa Bungeni Leo
Kikao cha tatu cha mkutano wa tatu wa Bunge la 11 kimeendelea tena Dodoma leo April 21 2016 , shughuli nzima iliyoanza asubuhi ni maswali na majibu kwa Waziri Mkuu, Pia…
Mama aliyekamatwa Hospitali ya Mwananyamala Dar #HekaHeka (+Audio)
April 21 2016 Kupitia Hekaheka ya Clouds FM ni kuhusiana na mama aliyekamatwa katika hospitali ya Mwananyamala Jijini Dar es salaam akituhumiwa kwa kosa la kutaka kuiba mtoto kwenye wodi ya wazazi, millardayo.com imekurekodia…
Kiongozi wa ACT- Wazalendo alivyojitangaza kuachia uongozi wake mbele ya waandishi wa habari..
April 21, 2016 chama cha ACT - Wazalendo kilifanya mkutano mbele ya waandishi wa habari na kuzungumza kuhusu kung'atuka kwa Katibu Mkuu wao aitwae Samson Mwigamba ambaye anatarajia kwenda Kenya…
VIDEO: Temeke bye bye kukalia mawe na kujishikiza
Baada ya agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli kutaka ifikapo mwezi June 2016 wanafunzi wote wawe wanakaa kwenye madawati. Manispaa ya Temeke imeweka…