PICHA 5: Mrembo Rihanna….. huku Drake kule Leonardo DiCaprio
Kwa urembo wake tu Wanaume wengi wamevutiwa nae... pamoja na kwamba hajawa muwazi sana kutaja au kuthibitisha kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na Wanaume mastaa aliokutwa nao, picha zilizopigwa zimekuwa…
Siku alizotoa RC Makonda kwa ombaomba Dar zimetimia, agizo lake je limetekelezwa?
Siku kadhaa zilizopita Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda alitoa maagizo matatu yanayohusu ombaomba wa mabarabarani kuondoka, majengo makubwa yaliyojengwa kinyume na taratibu pasipo kuwa na parking…
Ulisikia taarifa za Hazard kuhama Chelsea? kamwambia hivi kocha mpya wa Chelsea
Kama utakuwa unakumbuka vizuri habari za kiungo wa kimataifa wa Ubelgiji anayeichezea klabu ya Chelsea ya Uingereza Eden Hazard kuhusishwa kutaka kuihama klabu hiyo, April 18 2016 zimetoka stori mpya…
PICHA 14: Mabasi mapya ya haraka Dar es salaam kwenye majaribio April 18, 2016
April 18, 2016 Mabasi ya abiria yaendayo haraka yalifanyiwa majaribio ikiripotiwa ni kujiandaa na kuanza kazi rasmi ya kubeba abiria na kushusha kwenye vituo mbalimbali vya barabara zake maalum zilizokamilika. Kama…
VIDEO: Hii Ilitokea Kenya, Wanawake waliiba ndani ya Mgahawa Nairobi bila kujua wananaswa na Camera
Camera za usalama zilizofungwa kwenye maeneo mbalimbali huwa zinasaidia sana kujifunza au kuepuka kitu kisijirudie wakati mwingine, kwenye hii video hapa chini ni jinsi Wanawake wezi walivyoiba kwenye mgahawa Nairobi…
Aliyemtukana Rais Magufuli kwenye Facebook kapata dhamana
Mahakama ya Hakimu mkazi Arusha imempa dhamana Mtuhumiwa Isaac Abakuki anayetuhumiwa kumtukana Rais John Magufuli kupitia kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook. Hakimu mfawidhi Agustino Rwezire amesema…
VIDEO: Episode 2 ya Warembo wa Tanzania walivyojitokeza kuonyesha vipaji vya kuigiza kwenye X Baller
Baada ya kufanya vizuri kwenye movie ya Going Bongo ambayo ilizihusisha nchi mbili ambazo ni Marekani na Tanzania. Mwigizaji kutokea Tanzania Ernest Napoleon anajiandaa na movie yake nyingine inaitwa X Baller na…
VIDEO: Baada ya TFDA kufungia Machinjio Vingunguti, Mawaziri wamefika na kutoa maamuzi haya
April 17 2016 Waziri wa Kilimo, Uvuvi na Ufugaji Mwigulu Nchemba aliongozana na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu mpaka kwenye machinjio ya Vingunguti Dar baada ya machinjio hayo kufungiwa na Mamlaka…
Kampuni ya Ivori Iringa,Wanayo hii Taarifa Mtu wangu…
Kama wewe ni mmoja kati ya watu ambao umekua ukikutana na Chocolate inayotoka nje ya Nchi yenye nembo inayofananishwa na Chocolate ya Ivori Iringa ukahisi labda wamebadilisha muonekano wa nembo…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 18 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
April 18 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…