Mtangazaji wa TV anaekerwa na picha za utupu za Kim Kardashian
Mwandishi na mtangazaji maarufu wa Uingereza ambaye amewahi kufanya kazi pia CNN Piers Morgan kwa mara nyingine amemponda mke wa rapper Kanye West, Kim Kadarshian kwa kitendo cha kupiga picha…
Korea Kusini wako Mahakamani… biashara ya ngono ihalalishwe au ipotezewe moja kwa moja?
Mahakama ya katiba Korea kusini imeendelea kukataa rufaa iliyowasilishwa kupinga sheria inayopiga marufuku biashara ya ngono ikiwa ni ishara ya kushindwa kwa wafanyabiashara hii ambao kwa miaka mingi wamekuwa wakifanya…
Rais Magufuli ametoa shilingi Milioni 10 nyumbani kwao Geita leo
President John Pombe Magufuli wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania yupo nyumbani kwao chato kwa mapumziko ya siku tano ambapo toka ateuliwe kuwa Rais wa Tanzania, hii ni mara yake ya…
VIDEO: Mchekeshaji Erick Omondi anasema na Wanaume wavaa suti mbele ya Warembo
Ni mchekeshaji kutoka Kenya ambaye vichekesho vyake vimefikia mpaka mataifa nje ya Kenya, anakupa uhakika wa kucheka na kusmile kila time ukimsikia au kumtazama, bonyeza hii video hapa chini.. https://www.youtube.com/watch?v=nZXVI17_P6s ULIIKOSA…
VIDEO: Davido katua Congo Brazaville… huyu shabiki kamshangaza mpaka ikabidi ampost
Uwepo wa mashabiki kwenye sanaa ya staa yeyote ni kitu ambacho tumezoea kukiona ila kuna ule ushabiki wa damu mpaka mtu analia kwa kutoamini kama amekutana na staa anayemkubali ambaye…
Baada ya oparesheni 13 Millen Magese anapanga kuondoa kizazi, ushauri wa kwenda kwa TB Joshua je?
Mwanamitindo Mtanzania Millen Magese ambaye amekua akiishi na kufanya kazi Marekani amechukua likizo ya mwezi mmoja kufanya kampeni ya tatizo la kiafya ambalo limekua likimsumbua toka akiwa na umri wa miaka 13…
Aslay kaongea kwanini hayuko tena na Mwanamke aliyekua na ujauzito wake… Umeneja mpya je?
Aslay ni mwimbaji kutokea kundi la Yamoto BAND, kilichofanya awepo kwenye hii post ni kauli yake ya kukanusha kumtelekeza Mwanamke mwenye ujauzito wake baada ya kuishi nae kwa miezi isiyozidi…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 3 2016 kwenye, hardnews na michezo
April 3 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Magari ya kifahari ya jeshi la Polisi Dubai, unakamatwa na kosa barabarani unasahau faini ukilishangaa gari
Dubai ni moja ya sehemu ukienda kwa mara ya kwanza utajikuta unashangaa tu tena kama wewe ni mpenzi wa magari makali na maisha mengine ya kifahari ndio kabisa maana kuanzia watu…
Jionee points na wanaoongoza kwenye msimamo wa ligi kuu Tanzania bara baada ya mechi za April 2 2016
Kama unalove na soka la Tanzania najua utaguswa kujua namba zikoje kwenye msimamo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara baada ya mechi zilizochezwa April 2 2016. HUKULIONA GOLI LA MBWANA…