Jinsi mgombea urais kupitia CCM Dkt Shein na Makamu wa urais wa Tanzania walivyoshiriki kupiga kura..(+Video)
Leo march 20 2016 Wananchi wa Zanzibar wamepata fursa ya kupiga kura na kuwachagua viongozi wao, na hii ni baada ya kufutwa kwa uchaguzi wa awali uliofanyika october 25 2016.…
Yaliyonifikia hivi sasa kuhusu hali ya usalama visiwani Zanzibar…. (+Video)
Bado headline zinazochukua nafasi kubwa kwa siku ya leo March 20 2016, ni hii ya marudio ya uchaguzi wa Zanzibar ambao awali matokeo yalifutwa kwa kile kilichoelezwa kujitokeza kwa kasoro…
Picha 12 kutokea Zanzibar kwenye uchaguzi wa Marudio, hali ya utulivu ikoje?, Rais Shein?
Leo march 20 2016 Wananchi wa Zanzibar wamepata fursa ya kupiga kura na kuwachagua viongozi wao, na hii ni baada ya kufutwa kwa uchaguzi wa awali uliofanyika october 25 2016.…
Pichaz 12: kutoka kwenye uzinduzi wa Miss Tanzania Dar es Salaam
March 19, 2016 shindano la miss Tanzania lilizinduliwa rasmi Dar es salaam na kuhudhuriwa na Waziri wa Habari, Sanaa Utamaduni na michezo Nape Nnauye na kufanyika bonge la show kutoka msanii…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 20 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo
March 20 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
VIDEO: Ronaldo kaenda hotelini kunywa chai… atamaliza kikombe? kuna dakika 4 za watu baada ya kumshtukia
Cristiano Ronaldo ni staa wa soka duniani.... uzito wa jina lake umewafikia hata wasio mashabiki wakubwa wa soka, tazama hii video hapa chini jinsi alivyokwenda kunywa chai kwenye Mgahawa wa kibiashara, mashabiki…
Video yenye magoli yote ya Simba vs Coastal Union March 19.. Full Time 0-2
Ligi Kuu soka Tanzania bara iliendelea March 19 2016 kwa Simba kucheza na Coastal Union Mkwakwani Tanga ambapo mpaka Full Time Simba iliondoka na goli zake mbili wakati Coastal walibaki wakavu bila goli...…
Sio kwa kujiamini huku…. huyu Mrembo anacheza na Simba sakafu moja na mpaka anambusu
Tunajua kuna ile list ya Wanyama wakali duniani ambao Binadamu hawatakiwi kujisogeza au kucheza nao.... na ukisikia kuna Simba kaonekana mtaani najua hautotoka nje ila yeye huyu Mrembo kwenye Hifadhi binafsi…
Full Time za game nne kubwa zilizochezwa kwenye ardhi ya Tanzania March 19 2016
Kwenye game ambazo zimechezwa leo kwenye ardhi ya Tanzania Full Time ya Coastal Union vs Simba SC ilikua 0-2 wakati Stand United vs Ndanda ilikua 1-1 na Majimaji FC vs Mbeya City ilikua…
VIDEO: Kutoka kwenye eneo ilipoanguka ndege ya Fly Dubai na kuua wote 62
Taarifa za hii ajali zilianza kutoka March 19 2016 asubuhi ambapo ndege ilikua na abiria 55 pamoja na Wafanyakazi saba ambapo ilianguka uwanja wa ndege wakati ikijaribu kutua huko kusini…