Simba imekuwa klabu ya kwanza kati ya Azam FC na Yanga, kupata ushindi dhidi ya Coastal Tanga (+Pichaz)
Baada ya uwanja wa Mkwakwani kutajwa kuwa mgumu msimu huu kupata matokeo kwa Yanga na Azam FC, March 19 ilikuwa ni zamu ya wekundu wa Msimbazi Simba kupambana na Coastal Union…
Picha 20: Harmonize katika kuadhimisha siku ya kulinda mazingira Dar es Salaam
Leo March 19 msanii kutoka label ya wasafi (WCB), Harmonize aliungana na WWF kuadhimisha siku ya kulinda mazingira katika kijiji cha Buyuni wilaya ya Temeke Dar es Salaam. Msanii huyo…
Baada ya kujitoa kwa mgombea ubunge wa CUF Jimbo la Kijitoupele Zanzibar, NEC wameyazungumza haya
Uchaguzi Mkuu wa october 2015 ulikuwa ni uchaguzi uliovuta hisia za wengi na idadi kubwa ya watu walihamasika kushiriki uchaguzi huo. Licha ya Uchaguzi kufanyika kwa mafanikio makubwa katika maeneo…
List ya wachezaji watano wa Afrika wanaoongoza rekodi ya ufungaji kwa muda wote EPL
Mchezaji kutoka Afrika ili aweze kucheza Ligi Kuu Uingereza moja kwa moja mara nyingi hadi taifa lake liwe katika viwango vya juu vya FIFA, vinginevyo lazima apite Ligi nyingine barani Ulaya…
Uteuzi mwingine aliofanya Rais Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli anazidi kuendelea kuisuka Serikali yake ili iwe yenye ufanisi zaidi. Leo March 19 amefanya uteuzi ambao umeziba baadhi ya…
Yaliyonifikia hii leo kutoka Tume ya Uchaguzi Zanzibar
Ni takribani masaa kadhaa yamebaki ili wananchi wa Zanzibar wafanye maamuzi ya kumchagua Rais wa Zanzibar, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na Madiwani. Leo March 19 2016 Tume ya Uchaguzi…
Ulisikia stori za Ibrahimovic kujiunga na Arsenal? Wenger katoa majibu kwenye hii video
March 18 baadhi ya mitandao ya soka barani Ulaya iliandika stori kuhusu mshambuliaji wa kimataifa wa Sweden anayeichezea klabu ya Paris Saint Germain ya Ufaransa Zlatan Ibrahimovic kuwa yupo katika…
Ajali ya Ndege ya FlyDubai ilivyoua watu zaidi ya 60
Kwenye Vyombo vya habari vya Kimataifa, habari inayomake headline ni kuhusiana na ajali ya Ndege iliyotokea mapema leo. Ndege ya FlyDubai ambayo ilikuwa ikitokea Dubai na watu 62 imeapata ajali wakati…
Neymar kakutwa na hatia ya ukwepaji kodi, hukumu yake je?
Mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil anayekipiga katika klabu ya FC Barcelona ya Hispania Neymar bado yupo kwenye headlines za ukwepaji kodi, kama ambavyo zilivyokuwa zinawakabili mastaa wenzake wa FC Barcelona…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 19 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo
March 19 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…