Ilivyotokea mpaka Diamond Platnumz akakutana na Kanye West Los Angeles Marekani
Ni Story iliyochukua headlines hasa kwenye vyombo vya habari na mitandao hivi karibuni baada ya Diamond Platnumz kukutana na rapper wa marekani Kanye West Los Angeles Marekani. Sasa basi ninajua…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 17 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo
March 17 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Agizo la kwanza alilolitoa Paul Makonda kama mkuu wa mkoa Dar (+Video)
Jana March 15 2015 Rais John Pombe Magufuli aliwaapisha wakuu wapya wa mikoa 26 ya Tanzania bara na kuwaagiza kutekeleza wajibu wao bila kuwa na hofu yoyote kutoka kwa watu…
PART 1: Mfungwa mtanzania aongea kwa simu kutoka gerezani China
March 16 Apmlifaya ya Clouds FM ilipata nafasi ya kuzungumza kwa simu na mfungwa mtanzania aliyefungwa gereza moja na Jack Cliff, jamaa jina lake halijawekwa wazi ila amefungwa gerezani hapo…
Mwigizaji Nisha yuko China kwa mara yake ya 7.. watu wanamuhisi vingine ila kaongea yafuatayo
Mwigizaji wa bongomovie Salma Jabu 'Nisha' amekwenda tena China ikiwa ni mara yake ya saba toka aanze kwenda China ambapo wengi wa mashabiki zake wamekua wakihisi anafanya biashara haramu ya…
Mrema hajakata tamaa bado yupo mahakamani
Aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Vunjo kupitia chama cha kisiasa cha TLP Augustino Mrema, bado hajakata tamaa kuendelea na kesi yake ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa jimbo la Vunjo…
Marudio ya uchaguzi mkuu Zanzibar ni keshokutwa tu, Jaji mkuu wa Zanzibar kaongea haya
Ikiwa siku bado zinahesabika kuelekea uchaguzi mkuu wa marudio visiwani Zanzibar, March 16 jaji Mkuu wa Zanzibar Omary Othman amefunguka na kueleza mambo kadhaa kuelekea uchaguzi huo ambao unategemewa kufanyika…
Waziri wa TAMISEMI awapiga mkwara wakuu wapya wa mikoa
March 15 2016, Rais John Pombe Magufuli aliwaapisha Wakuu wa Mikoa wapya huku akitoa siku 15 kwa Wakuu wa Mikoa wawe wamesimamia na kuondoa watumishi hewa na pia kuwakamata vijana…
Maneno ya mwenyekiti wa CCM Mikocheni baada ya Mwapachu kurudi CCM… milioni moja aliyoitoa je?
March 16 balozi Juma Mwapachu alitangaza rasmi kurudi cha chake cha zamani CCM, Mwapachu alirudi CCM ikiwa ni zaidi ya miezi mitano imepita toka atangaze kuhama chama hicho, baada ya…
Simba kuishitaki TFF kwa Nape, kama hili lisipotimia hawataendelea na mechi za Ligi (+Video)
Klabu ya wekundu wa msimbazi Simba March 16 kupitia kwa mkuu wao wa idara ya habari na mawasiliano wa klabu hiyo Haji Manara wametangaza mambo mawili kuhusu TFF na Hassan…