Mengine yaliyofanywa na Malkia wa Nguvu Doris Mollel kwenye sekta ya Afya….
March 12 ilikua ni kelele cha Kampeni ya Malkia wa nguvu,Kampeni ambayo ilikua ikiendeshwa na Clouds Media Group kilele cha kampeni hii kiliambatana pia na utolewaji wa Tuzo kwa wale…
Top 10 ya Tweets zilizopewa uzito kwenye Magazeti ya leo March 14 2016 unazisoma pamoja hapa!!
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu yaTwitter>>>@millardayo na Zote nakusogezea hapa chini https://twitter.com/millardayo/status/709238070026047488 https://twitter.com/millardayo/status/709241593165975552 https://twitter.com/millardayo/status/709242997410430976 https://twitter.com/millardayo/status/709248909860855808…
Pichaz 16: kutoka kwenye ‘Siwezi, Naogopa Tour’ ya Baraka da Prince na Mirror..
Mirrror na Baraka da Prince wamekamilisha Headlines za March 14 2016 baada ya kufanya bonge la show Club Maisha Basement, Dar es salaam ikiwa ni Tour yao yapamoja waliipatia jina…
Stori kubwa kwenye uchambuzi wa Magazeti March 14 2016…#PowerBreakfast (+Audio)
March 14 2016 millardayo.com imekurekodia uchambuzi wa magazeti kutoka Power Breakfast ya Clouds FM, ni uchambuzi wa Habari zote kubwa kupitia magazeti yaliyoandikwa leo Tanzania, Hizi ni baadhi ya Habari…
Video ya goli la Mbwana Samatta alipoisaidia KRC Genk kuibuka na ushindi wa goli 4-1
March 13 mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayeichezea klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta alipata nafasi ya kuanza na kikosi cha Genk kwa mara ya kwanza na hili…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 14 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo
March 14 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Video ya Washindi wa tuzo, Lulu na Richie walivyomfikia Makamu wa Rais Dar
March 13 2016 washindi wa tuzo ya Africa Magic Viewer’s choice Awards 2016,Single Mtambalike na Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo waamezipeleka tuzo zao mbili nyumbani kwa Makamu wa Rais Mama Samia…
Mkutano wa Chadema kwenye utambulisho rasmi wa Katibu Mkuu Mwanza…(+Pichaz)
Kwa mara ya kwanza March 13, 2016 Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Vicent Mashinji ameonekana rasmi kwa wakazi wa Mwanza kwenye uwanja wa furahisha, viongozi wa kitaifa wa Chadema pamoja…
Picha 4: Basi la abiria lililopata ajali likiwa limebakiza dakika 15 kuingia Dar es salaam
March 13 2016 usiku wa saa moja kumetokea ajali ya basi la Leina Tours lililoanguka maeneo ya Kimara Bucha, Dar es salaam na taarifa rasmi zinasema lilikua likitokea Kahama Shinyanga…
Samatta kaiongoza KRC Genk katika ushindi wa goli 4-1, video ya goli lake hii
Kwa mara ya kwanza klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji ambayo inaongozwa na kocha lakini inachezewa na nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Mbwana Ally Samatta, imempa nafasi ya…