Tarajia kuuona uwanja wa FC Barcelona katika muonekano huu 2021(+Pichaz)
Klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambayo imezoeleka kutumia uwanja wake wa Nou Camp, March 9 imetoa picha za muonekano wa uwanja wao utakavyokuwa kwa miaka minne ijayo. FC Barcelona…
Naj kahojiwa na Soudy Brown, nikweli anatoka na Baraka da Prince..? U Heard (+Audio)
March 9 2016 kwenye U Heard ya Soudy Brown amefanya mahojiano na Naj baada ya kusikia taarifa za kutoka kimapenzi na msanii mwenzake kutoka kiwanda cha bongofleva Baraka da Prince,…
Nikweli Kimbunga Mchawi ana beef na Nay wa Mitego? 255 (+Audio)
Mtu wangu wa nguvu kama wewe ni mpenzi wa burudani millardayo.com imekurekodia 255 ya Clouds FM ya March 9 zile story zote ambazo zimepata airtime utapata kuzisikiliza hapa Kimbunga mchawi…
VIDEO: Mtanzania aliyelamba dili Tigo baada ya kuwaonyesha mteja anatavyoiona simu hata ikiibiwa.
Anaitwa Godfrey Magila, yeye na vijana wenzake ambao hawajafikisha hata umri wa miaka 25 walipata wazo la kutengeneza App itakayomuwezesha Mteja yeyote wa kampuni ya simu ya Tigo kulinda kila…
PICHA 3: Rais Magufuli leo kaenda kumjulia hali Maalim Seif baada ya kupata taarifa za kuugua kwake
President wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemtembelea na kumjulia hali makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad kwenye hoteli ya Serena Dar…
Licha ya ajali kutokea asubuhi, bado umati umekusanyika Kituo cha Polisi Buguruni
Asubuhi ya March 9 taarifa za ajali kutokea maeneo ya Tabata Dar Es Salaam zilisambaa katika sehemu mbalimbali hususani, katika mitandao ya kijamii. Tabata ilitokea ajali iliyokuwa inahusisha basi la…
Waziri wa Elimu leo kaenda mwenyewe chuo Kikuu cha St. Joseph Dar es salaam
Chuo Kikuu cha Mt. Joseph kimechukua vichwa vya habari hivi karibuni baada ya kutokea kwa migomo kwenye vyuo vishiriki vya chuo hicho na baadhi kufutiwa vibali vilivyoanzisha vyuo vikuu viwili vishiriki vya…
List ya msafara wa Yanga utaokwenda kuikabili APR Kigali Rwanda klabu Bingwa Afrika
Klabu ya Dar Es Salaam Young Afrika March 12 itacheza mchezo wake wa kwanza wa raundi ya pili ya michuano ya Klabu Bingwa barani Afrika utakaochezwa siku ya Jumamosi ya…
Mtoto wa miaka 9 anayefanyishwa kazi za ndani Kinondoni Dar, wananchi wameamua hili… #Hekaheka (+Audio)
March 9 2016 Kupitia Hekaheka ya Clouds FM Geah Habib ametuletea Hekaheka iliyotokea Kinondoni, Dar es salaam ni madai ya mtoto wa miaka 9 aliyetolewa Iringa kwa ajili ya kuja…
Pichaz 20 za Azam FC walivyoondoka Airport Dar kuifuata Bidvest Wits ya Afrika Kusini ndani ya suti
Klabu ya Azam FC asubuhi ya leo March 9 imesafiri kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya kucheza mchezo wake wa kwanza wa Kombe la shirikisho barani Afrika dhidi ya klabu…