Lulu hakurudi Tanzania jana… ninacho alichoandika leo kuhusu kurudi kwake nyumbani na Tuzo
Tunajua ni Watanzania wawili walishinda tuzo mbili kwenye usiku wa tuzo za Africa Magic Viewer's Choice Awards, wa kwanza ni Single Mtambalike 'Richie' na Elizabeth Michael 'Lulu' ambapo Richie tayari alisharudi…
New video: Mshindi wa Bongo Star Search 2015 Kayumba katuletea Video Mpya…
Baada ya kushinda Bongo Star Search Kayumba Juma katuletea Video yake ya Kwanza inayoitwa 'Katoto' iliyofanyika Afrika Kusini chini ya Director Justin Compas. Unaweza ukaitazama hapa..... https://www.youtube.com/watch?v=A8bzCAhnTrc Unataka kutumiwa MSG…
Stori kubwa kwenye uchambuzi wa Magazeti March 7 2016…#PowerBreakfast (+Audio)
March 7 2016 millardayo.com inakupatia fursa ya kusikiliza uchambuzi wa magazeti kupitia Power Breskfast ya Clouds FM stori kumba leo ni pamoja na hizi..Rais Magufuli amaliza kivuli cha Jk Ikulu,…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 7 2016 kwenye Udaku, hardnews na michezo
March 5 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Pichaz 20 za mapokezi ya Richie Richie Airport baada ya kuwasili na tuzo kutokea Nigeria
Usiku wa March 5 tasnia ya Bongo Movie iliingia kwenye headlines Lagos Nigeria, baada ya wasanii wawili kushinda tuzo za Africa Magic Viewer’s Choice Awards 2016 zilizotolewa Lagos Nigeria, Single Mtambalike maarufu kama…
Ukiniuliza movie gani kali ya kutazama Cinema Dar es salaam sasa hivi…
Kutana na mlinzi wa Rais wa Marekani mwenye ujuzi wa hali ya juu.. alikwenda London akiwa anamlinda Rais wake lakini ghafla kabla hawajaingia hata kwenye jumba walilotakiwa kuingia, mashambulizi yakatokea…
‘Kuna watu wanatuchora kama makatuni watumwa, sisi hatupo hivyo’;- Madereva daladala (+Video)
March 6, 2016 Chama cha madereva na makondakta wa daladala Dar es salaam, kimetangaza rasmi kuafikiana na yale makubaliano kati ya Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda na wamiliki wa magari…
Mambo matano Nay wa Mitego hatosahau toka aachie ‘shika adabu yako’
Msanii wa bongofleva Nay wa Mitego amekaa kwenye OnAIR with Millard Ayo na kuzungumzia experience ya single yake ya 'shika adabu yako' ambayo ndani yake amewachana baadhi ya mastaa wa…
Hii ndio historia mpya iliyowekwa na Simba dhidi ya Mbeya City leo
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea leo kwa klabu ya Simba kushuka uwanja wa Taifa Dar Es Salaam kuikabili Mbeya City katika mchezo wao wa mzunguuko wa pili wa Ligi…
VIDEO: Mtazame Rais Magufuli akimtangaza katibu mkuu kiongozi mpya
March 6 2016 Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli amemtangaza katibu mkuu kiongozi mpya kwenye serikali yake ambaye anachukua nafasi hiyo iliyokua kwa Ombeni Sefue, katibu mkuu…