VIDEO: Waziri Nchemba kafanya ziara ya kushtukiza usiku na kufuta watu kazi
Usiku wa Feb 11 2016, Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mwigulu Nchemba alifunga safari ya ghafla kuelekea katika machinjio ya Ukonga Mazizi Dar , safari hii ikiwa ni kupambana…
Baada Adam Johnson kukiri kujihusisha na mapenzi na binti U-16, klabu na Adidas imeamua hivi, kabla ya hukumu
February 11 stori zilizoingia kwenye headlines katika soka la Uingereza ambalo linaaminika kuwa na mashabiki wengi wanaopenda Ligi hiyo, ni kuhusu winga wa zamani wa klabu ya Man City anayeichezea…
Baada ya Injini ya Pantoni Kigamboni kuzima katikati ya maji, huyu Shuhuda amefichua mengine
Imekua ni moja ya Top Stories February 11 2016 baada ya picha kuanza kusambaa asubuhi kuhusu Injini ya Pantoni Kigamboni kuzima katikati ya maji na safari haijakamilika, shuhuda ambaye ni…
VIDEO: Mahojiano ya Television ya CCTV Africa na mwimbaji Alikiba
Zaidi ya siku saba zilizopita mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba alituonyesha kwa mara ya kwanza single yake mpya ya 'Lupela' ambayo ameihusisha na ubalozi wake wa kutetea Uhai wa Tembo…
Soudy Brown kampata Ray ‘Vicent Kigosi’ kwenye YouHEARD baada ya kuusikia wimbo wa Nay wa Mitego
Leo kwenye U heard ya Clouds fm Soudy Brown kaamua kuingizia utani kupitia moja ya mstari kwenye mdundo wa Nay wa Mitego 'Shika adabu yako , eti Msanii Ray Kigosi katumia…
Full Video: Star wa Nigeria Seyi Shay alivyotua Dar, Mastaa gani wa bongo atafanyanao kazi?
Feb 10 2016 Star wa Nigeria Seyi Shay alitua Dar kwaajili ya kudondosha show ya Valentine Day itayofanyika Mwanza, Team ya Ayo Tv na millardayo.com iliwasili mapema katika uwanja wa…
Watu 11 wafariki na wengine 29 kujeruhiwa katika ajali ya Basi la kampuni ya Simba..(+Pichaz)
Habari za hivi punde ni ya watu 11 kufariki na wengine 26 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi la kampuni ya Simba na Lori lililokuwa limebeba mchanga na kugongana uso kwa…
Picha 3 za ilivyokuwa baada ya Pantoni la Kigamboni kuzima Injini kabla ya kumaliza safari leo.
Taarifa zilizo make headline muda huu ni pamoja na hii ya Pantoni kuzima ghafla Dar na kulazimika abiria wajitose baharini kuokoa maisha yao, hadi sasa haijafahamika kama kuna arhari iliyopatikana.…
Ommy Dimpoz karekodiwa maneno yake ya mwisho kuhusu Nay wa Mitego …(+Audio)
Staa wa Bongo fleva Ommy Dimpoz alionyesha kukwazika baada ya kusikia amechanwa kwenye moja ya mstari wa wimbo mpya wa Nay wa Mitego 'Shika adabu yako, hali hiyo ikampelekea kuandika…
Swali ambalo Nuh Mziwanda hataki kuulizwa tena na mwandishi yoyote wa habari
Kwa mnaofatilia habari za mastaa wa bongo ninayo hii ya Nuh Mziwanda kwenye post, tazama hii video hapa chini kupata yote aliyoyasema. https://www.youtube.com/watch?v=xGRWoTSoj1w Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa…