Pale ambapo Bunge lilisimama, Askari wakalazimika kuingia ndani ya Bunge Dodoma.. (+Picha)
January 27 2016 kikao cha Bunge kimeendelea Dodoma, yakaanza maswali na majibu kwa Mawaziri wa Serikali... baadae Waziri Nape Nnauye akatangaza kwamba kumekuwa na gharama kubwa sana TBC1 kurusha Live…
Picha 15 kujionea meli kubwa ya vitabu duniani iliyotua Dar
Jan 26 2016 meli ya Logos Hope ya Ujerumani ambayo huzunguka nchi mbalimbali Duniani kusambaza vitabu vya aina tofauti ilitua Dar, na tayari ripota wa millardayo.com ameyakusanya matukio katika picha…
Bibi na miaka yake 112 lakini idadi ya sigara anazovuta kwa siku ni stori..(+Video)
Hii imetokea huko India, Batuli Lamichhane mwanamke mwenye miaka 112 amekua akivuta sigara 30 kwa siku kwa miaka 95 sasa. Mwanamke huyo alianza tabia hiyo akiwa na miaka 17 na hakuweza…
Mengine yameibuka ya Range Rover ya Wema Sepetu, hapa yamemfikia Soudy Brown.. U Heard (+Audio)
Moja ya stori exclusive kabisa ambazo niliwahi kuzisogeza hapahapa kwenye millardayo.com ilikuwa interview ya Martin Kadinda kuhusu gari ya Wema Sepetu.. kwenye majibu ya Martin alisema gari ya Wema yuko…
Rekodi nyingine kwa Uingereza kwenye mchezo wa tennis..
Uingereza imeingia kwenye rekodi nyingine tangu mwaka 1977 baada ya wachezaji wake wawili wa mchezo wa tennis kufanikiwa kuingia hatua ya nusu fainali. Wachezaji hao Johanna Kontana na Andy Murray…
Mwendelezo wa Hekaheka ya mwanamke aliyehisiwa ni msukule Dar, leo kapatikana mama yake.. (+Audio)
Mwanamke mmoja alikutwa ndani ya shimo Dar, picha zake zimeenea mitandaoni na wengine walihusisha tukio hilo na masuala ya ushirikina wakahisi aliwekwa msukule. Jana walipatikana baadhi ya ndugu wakidai mama…
Updates za Bungeni Dodoma > hakuna Live TBC1? umeme chini ya ardhi? Malipo ya waliohama CCM?
Haya ni mambo matatu, sehemu ya makubwa yaliyoguswa kwenye mjadala wa Bungeni Dodoma... kama umekuwa mbali na Bunge na hujayanasa haya nimeona nikusogezee kwa ufupi kila kitu. Kwanza ni kuhusu malipo…
Sean Kingston kaondoa ukimya na kuisogeza kwako ‘One Away’..Video
Baada ya ukimya rapper wa Marekani Sean Kingston karudi tena kwenye headlines za burudani na kuidondosha Video yake mpya 'One Away'. Karibu uitazame hapa mtu wangu.... https://www.youtube.com/watch?v=lvVnmuvQ1VY Unataka kutumiwa…
Ukweli wa Diamond Platnumz kuhusu mwanae Tiffah, Ommy Dimpoz na kichurachura cha wanajeshi.. (+Video)
Kama hizi stori hujakutana nazo nimeona nizikusanye na kukuletea kwa pamoja mtu wa nguvu, zote zimegusa exclusive interviews na mastaa wa Bongo kama Msami, Diamond Platnumz, Nahreel, Dully Sykes na…
Maiti ya Mtz India, Chenge na Escrow, Mafisadi Papa Kizimbani, Bulaya apingwa…MAGAZETINI
MTANZANIA Bunge limepitisha wenyeviti wake watatu, huku wabunge wa upinzani wakihoji kuhusu uadilifu wa Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM). Wabunge wengine waliopitishwa kuwa wenyeviti ni wabunge wa viti…