Rais MAGUFULI naye kaguswa na ushindi wa Mbwana Samatta!! kayaandika haya..
Jana Tanzania iliandika historia katika medali ya soka Afrika na duniani baada ya mshambuliaji Mtanzania anakipiga katika klabu ya TP Mazembe, Mbwana Samatta kushinda tuzo ya mwanasoka bora wa Afrika…
Baada ya kuwamwaga Yaya Toure na Andrew Ayew, Aubameyang kajibu hapa stori za kwenda Arsenal …
Mshambuliaji wa kimataifa wa Gabon anayekipiga katika klabu ya Borussia Dortmund ya Ujerumani Pierre-Emerick Aubameyang ameingia kwenye headlines usiku wa January 7, baada ya kutangazwa mshindi wa tuzo ya mchezaji…
Hekaheka ya Shetta alivyonaswa kona akijipanga ‘kuchepuka’… (+Audio)
Staa wa hit singles kadhaa Bongoflevani, Shetta amealikwa kwenye show ya 'Leo Tena' radio Clouds FM... kama kawaida, kwenye story moja mbili jamaa akagusia pia Hekaheka aliyowahi kukutana nayo. Shetta…
Jionee na hii teknolojia ya choo kinachomaliza majukumu yako yote baada ya kukitumia..Video
Vipo vyoo vingi vya kisasa ambayo watu wengi wamekuwa wakimudu kuvitumia lakini hiki kingine kimeongezwa teknolojia zaidi kwani kina uwezo wa kufanya vitu zaidi ya tulivyozoea kutumia. Choo hiki cha…
Kisa cha mume wa mtu kilivyoweka sura ya mrembo kwenye mabango barabarani Uganda
Unaambiwa kitu cha mtu ni noma mtu wangu !! Kama uko karibu na stori za mitandaoni huenda umekutana na stori ya picha ya mrembo iliyobandikwa barabarani ikiwa na ujumbe kwamba…
Polisi wameinasa selfie ya mtu na mwenzi wake wanaosakwa kwa wizi Uingereza !!
Najua inawezekana hata wewe unapenda mkiwa kwenye pozi na mpenzi wako mnapiga zenu selfie, kwa kujiachia kabisa yani.. inakuwaje unaambiwa wewe na mpenzi wako mnatafutwa baada ya kupiga selfie ?!…
COMEDY: Girlfriend ukiitwa lunch na boyfriend nenda mwenyewe… yasikukute haya ya aliyekwenda na rafiki zake (video)
Ni kitu cha kawaida Boyfriend kumualika girlfriend wake kwa chakula cha mchana au jioni, au outing yoyote hata kama sio weekend... tazama hii video hapa chini ya mchekeshaji JayMo wa Kenya…
Kama ulikuwa hujui gazeti la Jambo Leo limeuzwa, mipango mingine 2016 nimesogezewa pia..
Kampuni ya Quality Media Group Limited imeinunua kampuni ya Jambo Concepts Tanzania Limited ambao ni wachapishaji wa gazeti la kila siku la Jambo Leo na ununuzi huo umeanza December 31 2015 na…
Wizara ya elimu yatoa siku 7, ya Mkapa na Rais MAGUFULI, watakaokula fedha za elimu bure..#MAGAZETINI
MWANANCHI Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako amelipa siku saba Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) kutoa maelezo kwa kubadili mfumo wa kupanga madaraja ya matokeo…
Kutana na #TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 9 ya Tanzania January 8, 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…